mfereji maringo
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 1,037
- 251
jamani ccm inatapatapa, mwisho wake ndio umewadia wanajaribu kutumia njia mbadala kulazimisha kubaki madarakani baada ya ushawishi wa kisera kushindwa, hali hiyo ndio imetokea ktk majimbo mengi ya uchaguzi. sasa hiyo idadi ya madiwani ambao ndio huchagua meya ipo bayana kwa kuwa ni ndogo vinginevyo wangeongeza idadi hadi watoshe, na kwa kuwa haiwezekani ikabidi wapige kura kinyemela. tusikubali.