NAPENDA MASASI
Member
- Jun 28, 2011
- 49
- 3
- Thread starter
- #121
Hallow mkuu wa chuo cha VETA. Hakika umenena vema, ni kweli kabisa kuwa ccm haikubaliki kwenye vyuo vya VETA. Lakini kwny vyuo vinavyotoa proffesionals kinakubalika sana. Fanya utafiti hivi utaelewa UDSM, UDOM, SAUT, TUMAINI Iringa, MZUMBE na Arusha University. Acha kufanya utafiti kwenye vyuo vya VETA peke yake!kwani vyuoni chama cha magamba kinapendwa!? Sasa hapo ujue ndio chama cha magamba kinaelekea kufa!