CHADEMA kufa rasmi 2015 kabla ya uchaguzi mkuu

Status
Not open for further replies.
Jun 28, 2011
49
3
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Pumba bin Crap
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.
Ila Nape NNauye unajishushia hadhi cheo chaako kikubwa punguza mda unaoutumia hapa JF adui yako sio CDM ni ubovu wa mfumo wa kiuongozi ndani ya chama chako ukimaliza kukisafisha nenda CCJ kaifufue
 

Join Date : 28th June 2011
Posts : 2
Thanks 0
Thanked 0 Times in 0 Posts

Rep Power : 0


duh huyu jamaa kajiunga leo

yaani jamaa kama hawa ndiyo wanamharibia nape political future yake

sijui hata nichangie nini humu , wacha nipotezee tuu
 
hivi NAPE, mgogoro wenu ule wa arusha ulikuwa ndio mwisho wa ccm? migogoro yote iliyotokea katika chama chako cha mafisadi ndio mwisho wenu? well, utaona tatizo hili litakavyoshughulikiwa na chama cha ukombozi (toka kwa makaburu weusi)-cdm kitakavyoshlishughulikia tatizo hilo. mambo yatakaa vizuri....2015 cdm itachukua nchi.jiandaeni kuwa wapinzani.nifikishie salamu kwa JK:mwambie asije akasuka mipango ya kuiibia nchi kuelekea uchaguzi 2015...safari hii ataozea keko.nawasilisha.
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.


images
 
Join Date : 28th June 2011Posts : 1 Thanks 0 Thanked 0 Times in 0 Posts Rep Power : 0karibu sana jamvini
Acha ufinyu wa mawazo. We muda wote uliokaa jamvini umefanya nini?Ni sawa na mtu aliyeishi miaka mingi lakini hakuna alichoacha na hivyo hawezi kukumbukwa kwa chocgote.Ni heri ufe ktk umri mdogo ufanye jambo la kishujaa kuliko uishi miaka mini kama kondoo.Nimetumia maelezo haya ili uelewe kuwa naweza kuwa nimejiunga leo lakini impact yangu ikawa kubwa kuliko wewe uliyemaliza karne jamvini.
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

ila wewe ni mwenyeji hapa, etiee?
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.

Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.

Chadema kama chama cha siasa kinaweza kufa,lakini kwa bahati mbaya akiwezi kufa kama unavyotaka!kwa nini unataka kife kabla ya uchaguzi wa 2015?unataka CCM ipate ushindi wa kisindo?unataka ufisadi uendelee kwa kasi mpya?hilo ni dua la kuu kamwe haliwezi kumpata mwewe!!!
 
Chama (kinachojiita) cha Demokrasia na Maendeleo kiko mahututi (ICU) na huenda kikafa rasmi kabla ya uchaguzi mkuu wa 2015.

Utafiti binafsi nilioufanya bila kushirikisha REDET wala SYNOVETE unaonesha chama hicho kukosa mwelekeo na hivyo huenda kikavurugika kabisa kutokana na uchu wa madaraka.

Hali inayoendelea Arusha ni kielelezo cha ninayoyasema.

Wiki iliyopita VUA GAMBA aliandika uhalisia wa kile alichokiona kwenye chama chake. Katika maelezo yake alidai yeye ni mwanachama wa chadema lakini HAKUBALIANI NA MUAFAKA ULIOFANYIKA ARUSHA.

Alitoa sababu zenye mashiko na kudhibitisha bila shaka yoyote kuwa kilichofanyika ARUSHA ni kwa maslahi ya wachache.

Lakini wafuasi wa chadema hapa JF walimtukana, kumpuuza na kumwita shushushu, bila hata kujaribu kutafakari ukweli wa kilichokuwemo kwenye thread. Ajabu hata Dr.KITILA MKUMBO nae akaangukia kwenye mkumbo huo wa wenzake.

Lakini mbaya zaidi MODS wakamburn.


Cha kushangaza ni kuona eti walewale waliotetea muafaka hapa jamvini wakiongozwa na TUKUTUKU eti ndio wanasimama kuungana na LEMA bila hata chembe ya aibu.

Mlisema chadema sio chama cha fujo na wanakubali muafaka, sasa mmetoka wapi leo kumtetea LEMA? Historia itawahukumu.



Tunashukuru kwa kujiweka wazi ndugu VUA GAMBA. Baada ya kupigwa ban wiki iliyopita umeamua kujiunga leo kwa jina lingine la NAPE MASASI ili uendeleze uzushi wako hapa. Hauna lolote kwa kujifanya eti mwanaCDM umeonyesha tayari uko hapa kumtumikia nani kwenye hilo jina lako jipya!....njaa mbaya sana!
 
Yani we kijana unaroho nzuri sana! umejiunga leo ili kutujuza hayo tu? Ina maana bila wewe tusingepata hiyo habari. Hongera mwanangu kwakuwa na akili kinyumenyume!! Lakini ni kusaidie habari yako ni sahihi kabisa ila ulichokosea ni herufi tu, badala ya ccm aumeandika cdm! Niherufi moja tu uliyoikose,jitahidi kuwa makini!! Karibu jf.
 
Acha ufinyu wa mawazo. We muda wote uliokaa jamvini umefanya nini?Ni sawa na mtu aliyeishi miaka mingi lakini hakuna alichoacha na hivyo hawezi kukumbukwa kwa chocgote.Ni heri ufe ktk umri mdogo ufanye jambo la kishujaa kuliko uishi miaka mini kama kondoo.Nimetumia maelezo haya ili uelewe kuwa naweza kuwa nimejiunga leo lakini impact yangu ikawa kubwa kuliko wewe uliyemaliza karne jamvini.
O.k kumbe unataka uandike jambo lolote ili ukumbukwe,kama ni hivyo basi umefikia malengo yako!!hongera kwa hilo mkuu!!
 
Kama VUA GAMBA alikula BAN nawewe umejiunga leo,unaweza kutushawishije kwamba wewe siye na kwa maneno yako unaonekana sio mgeni humu?Angalia pia post zako zisipokua na mashiko unakula BAN tu.
 
Du! kweli nyani haonikundule.
Hivi chama kinachokata roho ni kipi kama sioCCM?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom