We majeruhi wa arumeru unaweza kutukumbusha tusi alitukana lema hata kwa lugha ya kuficha,kinyongo kitakumaliza.
Kumfananisha LEMA na mandela ni kumkosea adabu mzee wetu nelson mandela! ni dhahiri wewe ulieanzisha hii topic uifute topic yako.
Nna uhakika humjui Mandela, Mandela hajawahi kushutumiwa kuwa ni mwizi wa magari!
Nna uhakika humjui Mandela, Mandela hajawahi kushutumiwa kuwa ni mwizi wa magari!
Arusha belongs to chadema. CCM wakaibe kwingine
Alisema Sioi ni shoga, akasema Dr Burian kapewa mimba na mwanaume wa nje ya ndoa..yapo mengi.
kutokana na matukio mbalimbali hapa nchini ya aliyekuwa mbunge wa a-town g.lema amekuwa akifananishwa na aliyekuwa rais wa s.kusini nelsoni mandela...give out ur comment je? Ni kweli tz inaweza kuwa na mandela lema
Aliiba gari la mamako?
Umeona wapi Mwizi anajulikana na usalama na yupo huru?
Kuwa na Adhabu.
Mbona Jk ni Mwizi na ni mkuu wa nchi?
Kweli ukiwa mwanaccm unakuwa na akili iliyochanganyikana na kinyesi kwa lazima.
Nna uhakika humjui Mandela, Mandela hajawahi kushutumiwa kuwa ni mwizi wa magari!