Borakufa
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 1,503
- 390
Hey pipoo
Chama kina kinachanja mbuga! kwa sasa kinamashabiki, wakereketwa na wapenzi kibao! lakini bado zijaziona juhudi za makusudi za kuhakikisha wale wote wanaoonyesha mapenzi makubwa kwa chama chetu wanapewa uwanachama haraka. Tunayo miaka 4 tu ya kufanya kazi kwa bidii ili kuufikia ukombozi.
Sizioni ofisi za maana hata katika zile sehemu ambazo chama kina nguvu kubwa kiasi kutilia shaka kumbukumbu za wanachama kama zipo!
Tunapenda kuona ofisi za chama kwenye kila kata, wilaya, mkoa hata kama sehemu husika ina mwanachama mmoja tu wa cdm! Dr. hakikisha Heche na wenzake wote hawakai waanzishe youth clubs kila kata wilaya na mkoa ambazo zitakuwa zinawakutanisha vijana mbalimbali ili kuwaweka pamoja katika mambo mbalimbali ya kijamii kama shughuli mbalimbali za maendeleo,michezo n.k
Tunataka mpaka 2014 tuwe na wanachama 20,000,000 walio hai na record zao zikiwa wazi kabisa. Tufungue matawi jamani tuchangishane jamani tulipie kodi za mapango jamani tukipata wanachama wengi kwenye kila tawi tunaweza kununua nyumba au hata kujenga ofisi kwa kuchangishana.
VIVA CDM
Chama kina kinachanja mbuga! kwa sasa kinamashabiki, wakereketwa na wapenzi kibao! lakini bado zijaziona juhudi za makusudi za kuhakikisha wale wote wanaoonyesha mapenzi makubwa kwa chama chetu wanapewa uwanachama haraka. Tunayo miaka 4 tu ya kufanya kazi kwa bidii ili kuufikia ukombozi.
Sizioni ofisi za maana hata katika zile sehemu ambazo chama kina nguvu kubwa kiasi kutilia shaka kumbukumbu za wanachama kama zipo!
Tunapenda kuona ofisi za chama kwenye kila kata, wilaya, mkoa hata kama sehemu husika ina mwanachama mmoja tu wa cdm! Dr. hakikisha Heche na wenzake wote hawakai waanzishe youth clubs kila kata wilaya na mkoa ambazo zitakuwa zinawakutanisha vijana mbalimbali ili kuwaweka pamoja katika mambo mbalimbali ya kijamii kama shughuli mbalimbali za maendeleo,michezo n.k
Tunataka mpaka 2014 tuwe na wanachama 20,000,000 walio hai na record zao zikiwa wazi kabisa. Tufungue matawi jamani tuchangishane jamani tulipie kodi za mapango jamani tukipata wanachama wengi kwenye kila tawi tunaweza kununua nyumba au hata kujenga ofisi kwa kuchangishana.
VIVA CDM