Leo Rais Jakaya Mrisho Kikwete anakutana na ujumbe na viongozi wa CHADEMA ikulu kwa mazungumzo ya kujadili muswada uliopitishwa na Bunge ambapo wabunge wa chadema walitoka nje eti hawaukubali.
wakati waliishawahi kutoka ndani ya bunge kwa hoja eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani Rais, ndipo Rais kikwete aliwaambia "Mtatoka mtaenda mtarudi hakuna Rais wa JMT ila ni mimi na Dkt Ally mohamed shain ndio Rais SMZ na Maalim seif sharif Hamad ni ndio Makamu wa kwanza wa Rais, Seif idd ni makamu wa pili wa Rais, kwa hiyo ili mambo yenu yawanyookee ni lazima mje kwangu"
Kwa maneno hayo ya Rais kikwete, Je viongozi wa chadema wamekwenda kwa ajili ya kutengeneza mambo yao? kama ni hivyo je ni nini hatma ya Chadema?
Update ya kikao ni muhimu ila isiwe kama juzi kwenye NEC ya CCM, maana watu walikuwa wanakurupuka tu kututupia matango pori na taarifa za ajabu ajabu humu.
Lakini pia umesahau kutuwekea source hapa.
Mi ninachoweza kusema ni kwamba timu ya CDM iwe makini sana na ile sumu inayoitwa 'POLINIUM 310'. Pia wasikubali kikao kiendelee hadi usiku wa manane maana muda huo ukifika mtu akisinzia tu anadondoshewa kwenye glasi ya maji ya kunywa then unaanza kusikia mara flani ngozi yake inababuka mara kapelekwa Muhimbili, Mara imeshindikana wanampeleka India.Kile kikao kilichoombwa na CHADEMA kukaa na JK kuzungumza kuhusu katiba mpya hatimaye leo kitafanyika.
Habari zinaendelea kudadavua kuwa kikao hicho kitahusisha ujumbe wa CHADEMA na JK na forum yake huku vyama vingine vya siasa kutokuwepo tofauti na ilivyopendekezwa na NEC ya CCM ambayo inaongozwa na JK.
Jamani pindi kikao kikianza kwa yeyote atakayepata kinachoendelea kikaoni atujuze. Naomba kuwasilisha.
:spy:
Source; Mwananchi newspaper
..."Mimi hapa sina rahaa e naumia na mawazo...Na:Sam wa Ukweli.Mi ninachoweza kusema ni kwamba timu ya CDM iwe makini sana na ile sumu inayoitwa 'POLINIUM 310'.
Pia wasikubali kikao kiendelee hadi usiku wa manane maana muda huo ukifika mtu akisinzia tu anadondoshewa kwenye glasi ya maji ya kunywa then unaanza kusikia mara flani ngozi yake inababuka mara kapelekwa Muhimbili, Mara imeshindikana wanampeleka India.
Chonde chonde Dk Slaa. Nataka nikuone ukiapishwa 2015 kama rais wangu na sio kusikia unaumwa umwa baada ya kuhudhuri hicho kikao.
Baada ya hapo sitaki kusikia tu ooh! fulani anaumwa anakimbizwa India (fare play inatakiwa)
Next tyme tumia kichwa kufikiri. CDM hawaendi kumwona ili mambo yao yanyooke, wanakwewnda pale kwa mustakabali wa Taifa.Leo Rais Jakaya Mrisho Kikwete anakutana na ujumbe na viongozi wa CHADEMA ikulu kwa mazungumzo ya kujadili muswada uliopitishwa na Bunge ambapo wabunge wa chadema walitoka nje eti hawaukubali.
wakati waliishawahi kutoka ndani ya bunge kwa hoja eti hawatambui mchakato uliomuweka madarakani Rais, ndipo Rais kikwete aliwaambia "Mtatoka mtaenda mtarudi hakuna Rais wa JMT ila ni mimi na Dkt Ally mohamed shain ndio Rais SMZ na Maalim seif sharif Hamad ni ndio Makamu wa kwanza wa Rais, Seif idd ni makamu wa pili wa Rais, kwa hiyo ili mambo yenu yawanyookee ni lazima mje kwangu"
Kwa maneno hayo ya Rais kikwete, Je viongozi wa chadema wamekwenda kwa ajili ya kutengeneza mambo yao? kama ni hivyo je ni nini hatma ya Chadema?
walishazoea kusema kuwa njia bora ni kutoka nje,, sasa wanaingia ikulu kufanyanini? Ni genge la kihuni linalotumia mgongo wa siasa kupotosha umma, maana ni wa2 wasikuwa na maadili, wasioheshimu viongozi wenzao,wanadharau police, mahakama, jeshi , tume ya uchaguzi na kila ki2, kuwa na wanasheria kibao kwenye chama chao ndo wanatufumbia macho kuwa kigezo cha kututetea?
Wasijidanganye kwa kuwa na washabiki wengi lakini kama hawawaelezi ukweli na dhamira yao ipo cku watatupwa kama umbwa na kuwasahau palepale.