walishazoea kusema kuwa njia bora ni kutoka nje,, sasa wanaingia ikulu kufanyanini? Ni genge la kihuni linalotumia mgongo wa siasa kupotosha umma, maana ni wa2 wasikuwa na maadili, wasioheshimu viongozi wenzao,wanadharau police, mahakama, jeshi , tume ya uchaguzi na kila ki2, kuwa na wanasheria kibao kwenye chama chao ndo wanatufumbia macho kuwa kigezo cha kututetea?
Wasijidanganye kwa kuwa na washabiki wengi lakini kama hawawaelezi ukweli na dhamira yao ipo cku watatupwa kama umbwa na kuwasahau palepale.
Mkuu, maadamu tumekubali siasa ya vyama vingi, ni vizuri kutolalamika na yale yanayotokea ali mradi wasivunje amani ya nchi na raia wake. Tunahitaji uvumilivu wa kisiasa hususani upande wa serikali. Katika vyama vingi tutaona na kusikia mengi ambayo tusingeweza kusikia katika nchi ya chama kimoja. Amini usiamini.