Chadema kesho kupiga kura za maoni Arumeru

UJUMBE KWA CHADEMA, ONYESHENI MFANO KWA KUWAPA WANAWAKE WA ARUMERU KIPAUMBELE.
Wagombea wote wapewe nafasi sawa wajielezee mbele ya wajumbe wote na waseme wamelifanyia nini jimbo lao na kwanini wapewe nafasi ya kugombea nafasi hiyo ?? wajumbe waruhusiwe kuuliza maswali na baada ya kila hoja kusikilizwa na kutolewa majibu ndio kura zipigwe na kuhesabiwa na wakina mama wa arumeru wapewe nafasi ya kusimamia uchaguzi mzima ili chama hiki kionyeshe njia na mfano wa kuigwa kwa kuwapa kipaumbele wakina mama kwa vitendo. Nasema tena wakina mama na wakina dada wa arumeru mashariki ndio waendeshe uchaguzi mzima na msifanye kama CCM kuleta wageni wakina msekwa na mukama kuja kusimamia uchaguzi kama vile hakuna watu wenye uwezo wa kusimamia uchaguzi huko ARUMERU ni matusi mbaya na dharau mbaya sana kwa wana arumeru.
 
UJUMBE KWA CHADEMA, ONYESHENI MFANO KWA KUWAPA WANAWAKE WA ARUMERU KIPAUMBELE.
Wagombea wote wapewe nafasi sawa wajielezee mbele ya wajumbe wote na waseme wamelifanyia nini jimbo lao na kwanini wapewe nafasi ya kugombea nafasi hiyo ?? wajumbe waruhusiwe kuuliza maswali na baada ya kila hoja kusikilizwa na kutolewa majibu ndio kura zipigwe na kuhesabiwa na wakina mama wa arumeru wapewe nafasi ya kusimamia uchaguzi mzima ili chama hiki kionyeshe njia na mfano wa kuigwa kwa kuwapa kipaumbele wakina mama kwa vitendo. Nasema tena wakina mama na wakina dada wa arumeru mashariki ndio waendeshe uchaguzi mzima na msifanye kama CCM kuleta wageni wakina msekwa na mukama kuja kusimamia uchaguzi kama vile hakuna watu wenye uwezo wa kusimamia uchaguzi huko ARUMERU ni matusi mbaya na dharau mbaya sana kwa wana arumeru.

CHADEMA wasahihishe waliyoyafanya IGUNGA maana walichukua wasimamizi toka Arusha, Moshi na Dar
 
Mbona mgombea kaishapatikana siku nyingi hizo kura ni kujikosha tu, mgombea ni yule aliyefanyiwa harambee na viongozi wa Chadema.

fuata ya magamba Ritz haya hayakuhusu,ivi izo buku mbili afu siku izi mmeongezewa mia tano hamchoki nazo?
 
Hivi waliochukua form ni wangapi na majina yao ni yapi?

kwa mujibu wa gazeti la Mwananchi ni hawa wafuatao Joshua Nasari, Godlove Temba, Yohane Kimuto, Rebecca Mugwisha, Samwel Shami na Anna Mughwira
 
Aise kumbe ritz bado yumo humu, mawazo yake vile vile miaka nenda rudi hajitambui.
 
Taarifa zilizopatikana kutoka ndani ya chadema ni kwamba wanachama wa chadema jimbo la arumeru wanapiga kura za maoni ili kumpata mtu ambaye wanadhani ataweza kupambana na magamba hatimaye kushinda.

Kutokana na ukweli huo tunaomba chadema wasijerudia mizengwe kama ya ccm. Hakikisha kila jambo halivunji katiba,kanuni na taratibu ili kutosababisha makundi ndani ya chama na kufanya kampeni kuwa ngumu.

Wanasiasa tunaamini makundi ndiyo siasa yenyewe
 
Jumla ya wajumbe 1,186 watakaopiga kura.

Wagombea

1.
Anna Mghwira
2. Godlove Temba,
3. Joshua Nassari
4. Samueli Shamy
5. Yohane Kimuto
6. Rebecca Magwisha.

Huyo namba 3 ndio kafanyiwa harambee na kina Lema, kachangiwa Sh10 milioni na kapewa magari manane.

Wengine hao ni wagombea yatima ndani ya chama.
 
Huyo namba 3 ndio kafanyiwa harambee na kina Lema, kachangiwa Sh10 milioni na kapewa magari manane.

Wengine hao ni wagombea yatima ndani ya chama.
Masikini usinikumbushe mnavyotaka kumfanya masikini mtoto hata 40 hazijafika nyie wabaya sana.
 
Huyo namba 3 ndio kafanyiwa harambee na kina Lema, kachangiwa Sh10 milioni na kapewa magari manane.

Wengine hao ni wagombea yatima ndani ya chama.

Nilikuwa sijakuelewa, kumbe kachangiwa fedha, nilidhani kawanunua wapiga kura pamoja na viongozi wa chadema, wewe ritz tulia hii ni elimu mpya kwako na chama chako, angalieni mpate kujifunza. hutegemei majeruhi, kwani hakuna anayeweka rehani vijiaseti vyake. watakaoshindwa hawatakuwa wamepoteza chochote hivyo hatutarajii kinyongo. Gamba likishindwa linajiuliza litarudishaje rushwa lililotumia kuwarubuni waheshimiwa wapiga kura?
 
Huyo namba 3 ndio kafanyiwa harambee na kina Lema, kachangiwa Sh10 milioni na kapewa magari manane.

Wengine hao ni wagombea yatima ndani ya chama.

Huyo haoi ndio yatima, juzi juzi kafiwa na baba yake, mnamtengenezea mazingira ya majonzi mengine hamfai hata kidogo.
 
Back
Top Bottom