Sizinga
Platinum Member
- Oct 30, 2007
- 9,101
- 6,027
- Thread starter
- #21
Ukweli ni kwamba huyu mama hajasoma uchumi. Kama anataka tumwage historia yake sawa, sio kazi kubwa. Na niseme tu hata Masters yake aliyofanya SUA, ilikuwa 'kazi nzuri' ya mama Salma (wakati huo akiwa mke wa waziri wa mambo ya nje) kutia maji ndipo akaachiwa.
Pili niseme sio kweli wala sahihi kuwa mishahara kima cha chini ikiwa laki 3.15, fungu la mishahara ni Tsh 9 Trillions (Sio tillion ndugu Sizinga)...
Hapo ndipo niliseposema kawakebehi Chadema kwa kudai hata yy kasomea uchumi na wachumi wa CDM wanapachika namba tu,(HII NI DHARAU KWA MTAZAMO WANGU) na kasema hayo live bungeni!!
Yeye kadai kwamba ukilipa hiyo laki 3.15 itafikia t. 7 na ushehe!! kwenye t 9 itabakia t 1 ambayo haiwezi kuongoza serikali... hii ndiyo hoja ya ghasia!! Ikanushwe kwa mchanganuo mzuri hapa CHADEMA.