FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,911
- 109,262
Napata shida kidogo kama kweli una elimu ya chuo kikuu halafu unakosa upeo wa kuelewa kwamba idara za ujasusi dunia mzima lazima ziwe na informers wao, basi hiyo elimu yako ina walakini, elewa kwamba kwamba idara ya ujasusi inakuwa na waajiliwa wake na mwakala wake wake ambao wanalipwa pesa kwa kazi maalum na muda maalum, huu unakuwa ni mkataba wa muda. Zitto kuwa na ukaribu na Deputy Director wa usalama wa Taifa ni lazima kuna some information anazipata kutoka kwa Zitto, na ni taarifa hizo hizo za kiitelijensia ndio wamemdanganya Mkwere kwamba CHADEMA sasa wanapanga kumpinduwa.
Ukitaka kujuwa vizuri kazi za mainformer angalia Israel huwa inapewa na nani taarifa za Magaidi wa kiparestina? Angalia movie moja inaitwa Delta Force one ndio utajifunza vizuri kuhusu hawa mainformer, ila tofauti ya mainformer wa kwetu ni kwamba njaa zimewazidi ndio maana wanatambulika kirahisi, lakini kwa kawaida ni ngumu sana kumjuwa informer.
Tafadhali usituharibie lugha yetu tamu ya kiswahili, naomba rejea hapo juu na urekebishe, kwenye R utumie R na kwenye L utumie L. Na mengineyo ambayo ntajaribu kukusaidia hapa chini:
"walakini" = walakin, towa i ya mwisho wa neno.
"waajiliwa" = waajiriwa.
"kiparestina" = ki-Palestina
Samahani kwa usumbufu, ukirekebisha hayo post yako italeta raha zaidi.