VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
1. Kitendo cha kusimamisha wagombea katika Kata zote 29 katika Uchaguzi Mdogo wa Madiwani ni suala jipya.Nyuma kidogo,wagombea wengi wa CCM walikuwa wanpita bila kupingwa.
2. Kutetea Kata 2 na kuongeza 2. Sisi CCM tumeshindwa kutetea kata zetu zote.
3. Kuzidiwa kwa takribani kura 8000 kwa Kata zote ni hatua kubwa mno
4. Kukubali kushinda na kushindwa ni jambo la kupigiwa mfano. Tungekuwa sisi CCM tumeshindwa hiyo pasingekalika.Green Guards walipewa kazi nzito sana: kuiba kura na 'kulinda' kura zilizoibwa.Sisi wa ngazi ya juu chamani tunajua.
5. Kushinda katika mikoa tofauti ni jambo jema.Ingekuwa Kaskazini tu,mngetupa la kusema.Ni kata za Morogoro,Iringa,Kilimanjaro na Arusha.
Mimi kama kada wa ngazi ya juu wa CCM nawapongeza CHADEMA na kutamka kuwa sasa Tanzania ina vyama vingi vyenye nguvu hasa CHADEMA wanaotunyima usingizi
2. Kutetea Kata 2 na kuongeza 2. Sisi CCM tumeshindwa kutetea kata zetu zote.
3. Kuzidiwa kwa takribani kura 8000 kwa Kata zote ni hatua kubwa mno
4. Kukubali kushinda na kushindwa ni jambo la kupigiwa mfano. Tungekuwa sisi CCM tumeshindwa hiyo pasingekalika.Green Guards walipewa kazi nzito sana: kuiba kura na 'kulinda' kura zilizoibwa.Sisi wa ngazi ya juu chamani tunajua.
5. Kushinda katika mikoa tofauti ni jambo jema.Ingekuwa Kaskazini tu,mngetupa la kusema.Ni kata za Morogoro,Iringa,Kilimanjaro na Arusha.
Mimi kama kada wa ngazi ya juu wa CCM nawapongeza CHADEMA na kutamka kuwa sasa Tanzania ina vyama vingi vyenye nguvu hasa CHADEMA wanaotunyima usingizi