Mpaka Kieleweke
JF-Expert Member
- Feb 27, 2007
- 4,132
- 1,571
Soma Halima alisema nini na jina halisi ni la nani ....
"Mheshimiwa Spika, wakati Shamba la Mbarali akipewa kwa bei ya kutupa Mwenyekiti wa CCM, shamba la kapunga[1] lilibinafsishwa na kukabidhiwa kwa kampuni ya Export Co. Ltd kwa bei ya kutupa ya shilingi bilioni 2.3, mmiliki akiwa bwana JEETU Patel ( Jina halisi Jayantkumar Chandubhai Patel)".
Aje akanushe kuwa jina halisi sio la mmiliki wa hilo shamba na kampuni ya Export CO.Ltd kwani kukanusha bila ushahidi ni ujinga .....
[1] Akijibu maswali tarehe 29/1/2008 , akielezea moja ya mafanikio ya mwekezaji huyu ni kukodisha jumla ya hekta 573 na 786 kwa vikundi vya wakulima wadogo 39 na 59 katika mwaka 2006/2007 na 2007/2008 na kwamba hekta 174 zilitarajiwa kukodishwa mwaka 2008.
"Mheshimiwa Spika, wakati Shamba la Mbarali akipewa kwa bei ya kutupa Mwenyekiti wa CCM, shamba la kapunga[1] lilibinafsishwa na kukabidhiwa kwa kampuni ya Export Co. Ltd kwa bei ya kutupa ya shilingi bilioni 2.3, mmiliki akiwa bwana JEETU Patel ( Jina halisi Jayantkumar Chandubhai Patel)".
Aje akanushe kuwa jina halisi sio la mmiliki wa hilo shamba na kampuni ya Export CO.Ltd kwani kukanusha bila ushahidi ni ujinga .....
[1] Akijibu maswali tarehe 29/1/2008 , akielezea moja ya mafanikio ya mwekezaji huyu ni kukodisha jumla ya hekta 573 na 786 kwa vikundi vya wakulima wadogo 39 na 59 katika mwaka 2006/2007 na 2007/2008 na kwamba hekta 174 zilitarajiwa kukodishwa mwaka 2008.