Benaire
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,958
- 306
Nawaomba wadau wa Chadema watupe majibu kwa nini hawana diwani hata mmoja katika majimbo yafuatayo:-
Mtwara Mjini, Masasi, Newala, Mtwara Vijijini, Tandahimba, Nanyumbu, Lulindi, Lindi Mjini, Mtama, Liwale, Nachingwea, Kilwa Kaskazini, Kilwa Kusini, Kibaha Mjini, Kibaha Vijijini, Mafia, Rufiji, Kibiti, Mkuranga, Kisarawe, Majimbo ya Pemba na Unguja, Tanga Mjini, Muheza, Pangani, Mkinga, Kilindi, Korogwe, Lushoto, Bumbuli, Temeke, Ilala,Kigamboni, Kinondoni. Tunduru Kaskazini, Tunduru Kusini, Namtumbo, Mbinga Mashariki, Mbinga Magharibi, Peramiho
Wanazi wa Chadema leteni majibu
Kila kitu kinazaliwa,kuishi na kukua baadae kuendelea na mwisho kufa (japo inawezekana recycling pia)....CHADEMA kipo kwenye hatua ya ukuaji sasa....ni Kama kuuliza kwa nini huna miaka hamsini? Ni kwa sababu hujafikisha umri huo....
Kilikuwa hakina mbunge hata mmoja Mwanza sasa kimepata wawili...kilikuwa hakina mbunge shinyanga sasa kimepata 5