CHADEMA ilikuwa sahihi kuhusu katiba mpya

meningitis

JF-Expert Member
Nov 17, 2010
8,349
4,674
Kulingana na matokeo ya utafiti uliofanywa na REPOA imeonekana kuwa 84 % ya watanzania wanahitaji katiba mpya.
Ikumbukwe kuwa mojawapo ya ahadi za chadema kwa wananchi katika uchaguzi wa 2010 ilikuwa ni kupatikana kwa katiba mpya ndani ya siku mia moja.
Huku ccm ikipinga na kusema haiwezekani.
Hii ni turufu nyingine kwa chadema kwani ni chama kinachoongelea mahitaji ya wananchi.
 
Point of correction:
CHADEMA ilisema itaanza mchakato wa kupata katiba mpya na si kukamilisha
 
Agenda ya katiba mpya haikuwa ya chadema peke yake na wala haikuanzia chadema, chimbuko lake ni NCCR-Mageuzi ambayo ilizungumzia katiba mpya katika ilani zake zote 1995, 2000, 2005, na 2010
 
Kulingana na matokeo ya utafiti uliofanywa na REPOA imeonekana kuwa 84 % ya watanzania wanahitaji katiba mpya.
Ikumbukwe kuwa mojawapo ya ahadi za chadema kwa wananchi katika uchaguzi wa 2010 ilikuwa ni kupatikana kwa katiba mpya ndani ya siku mia moja.
Huku ccm ikipinga na kusema haiwezekani.
Hii ni turufu nyingine kwa chadema kwani ni chama kinachoongelea mahitaji ya wananchi.

Mkuu labda hukuwaelewa nadhani walisema mchakato utaanza ndani ya siku mia moja na wala si katiba mpya kupatikana ndani ya siku mia moja. Kama walikuwa na maana ya katiba kupatikana ndani ya siku mia moja basi huu ulikuwa ni uongo wa mchana. Labda hiyo Katiba iwe inatungwa na kupitishwa na Kamati kuu badala ya watanzania kwa ujumla wao kama ambavyo tunashuhudia sasa.
 
Ni vizuri pia ukaangalia vipengele vya matokeo katika maeneo mengine waliyotoa hawa RAPOA. Mimi niafikiri wanatumika kutuandaa kuchakachua hiyo Katiba mpya.
 
Agenda ya katiba mpya haikuwa ya chadema peke yake na wala haikuanzia chadema, chimbuko lake ni NCCR-Mageuzi ambayo ilizungumzia katiba mpya katika ilani zake zote 1995, 2000, 2005, na 2010


Mkuu agenda ya Katiba mpya ilianzishwa na NCCR na wala si NCCR - Mageuzi. Sina hakika kama unafahamu tofauti ya NCCR na NCCR - Mageuzi.
 
Mkuu agenda ya Katiba mpya ilianzishwa na NCCR na wala si NCCR - Mageuzi. Sina hakika kama unafahamu tofauti ya NCCR na NCCR - Mageuzi.

Najua mkuu. Najua pia kwa NCCR-Mageuzi na CHADEMA vyote vilitokana na NCCR
 
Ni vizuri pia ukaangalia vipengele vya matokeo katika maeneo mengine waliyotoa hawa RAPOA. Mimi niafikiri wanatumika kutuandaa kuchakachua hiyo Katiba mpya.
kipengele kingine kinasema 71% ya watanzania hawaridhishwi na mwenendo wa uongozi wa Taifa letu.
 
Mkuu agenda ya Katiba mpya ilianzishwa na NCCR na wala si NCCR - Mageuzi. Sina hakika kama unafahamu tofauti ya NCCR na NCCR - Mageuzi.

Najua sana, na najua pia kwamba NCCR ndio mzazi wa NCCR-Mageuzi na CHADEMA.
 
Mkuu labda hukuwaelewa nadhani walisema mchakato utaanza ndani ya siku mia moja na wala si katiba mpya kupatikana ndani ya siku mia moja. Kama walikuwa na maana ya katiba kupatikana ndani ya siku mia moja basi huu ulikuwa ni uongo wa mchana. Labda hiyo Katiba iwe inatungwa na kupitishwa na Kamati kuu badala ya watanzania kwa ujumla wao kama ambavyo tunashuhudia sasa.
ni kawaida yenu wanaccm kuona mambo marahisi 'hayawezekani'
ubaya ni kuwa watanzania wanafikira tofauti na nyinyi!
 
Kulingana na matokeo ya utafiti uliofanywa na REPOA imeonekana kuwa 84 % ya watanzania wanahitaji katiba mpya.
Ikumbukwe kuwa mojawapo ya ahadi za chadema kwa wananchi katika uchaguzi wa 2010 ilikuwa ni kupatikana kwa katiba mpya ndani ya siku mia moja.
Huku ccm ikipinga na kusema haiwezekani.
Hii ni turufu nyingine kwa chadema kwani ni chama kinachoongelea mahitaji ya wananchi.
mbona akina mrema, Seif Hamad, Prof. Lupumba na wengine wamelipigia kelele sana hilo? Rejea hata tume ya Jaji kisanga. kama sikosei Lipumba alivunjwa mkono kwa ajili ya suala hili. tatizo lenu nyinyi ni uelewa mdogo. ni kukurupuka tu kama kawaida yenu. Ulizeni kwanza.
 
mbona akina mrema, Seif Hamad, Prof. Lupumba na wengine wamelipigia kelele sana hilo? Rejea hata tume ya Jaji kisanga. kama sikosei Lipumba alivunjwa mkono kwa ajili ya suala hili. tatizo lenu nyinyi ni uelewa mdogo. ni kukurupuka tu kama kawaida yenu. Ulizeni kwanza.
walilipigia kelele lini?wakati wanalipigia kelele wananchi walikuwa upande gani?tuache unafiki.
 
Kulingana na matokeo ya utafiti uliofanywa na REPOA imeonekana kuwa 84 % ya watanzania wanahitaji katiba mpya.
Ikumbukwe kuwa mojawapo ya ahadi za chadema kwa wananchi katika uchaguzi wa 2010 ilikuwa ni kupatikana kwa katiba mpya ndani ya siku mia moja.
Huku ccm ikipinga na kusema haiwezekani.
Hii ni turufu nyingine kwa chadema kwani ni chama kinachoongelea mahitaji ya wananchi.

polifix bwana... Inakubidi uweke mguu moja ndani na mwingine nje?? U dont knw when u gn get hit.. I mean na chadem ni wale wale tu.. Humans wameumbwa kujijari kwanza so usidhani atakufikiria wewe kabwela.. U must think hard.. So usitegemee mabadiliko wakati kila mtu (na yeye akiwemo! ) analia shida..# ni mtazamo tu
 
polifix bwana... Inakubidi uweke mguu moja ndani na mwingine nje?? U dont knw when u gn get hit.. I mean na chadem ni wale wale tu.. Humans wameumbwa kujijari kwanza so usidhani atakufikiria wewe kabwela.. U must think hard.. So usitegemee mabadiliko wakati kila mtu (na yeye akiwemo! ) analia shida..# ni mtazamo tu

ni mtazamo wa kinafiki na usiokuwa na tija kwa kipindi kilicho mbele yetu.
 
Unafiki ni kwamba unataka kuwaaminisha wtz wasifanye mabadiliko ya uongozi kwa hoja dhaifu kuwa binadamu wote ni sawa hata Cdm wakiingia mambo yakuwa yaleyale.
kila mtu ana idea zake especially msomi kama wewe.. Mawazo yangu haya hayawezi kubadilisha mtazamo wako kama hayana maana. Same to others. So nadhani mkuu umeover react tu
 
sasa hapo mkuu unafiki uko wapi???

kwa hiyo kama unaamini chadema ni walewale tu ina maana tuendelee kuwaacha ccm?
point yangu ni moja tu kwa sasa tunatoa ccm tunaweka chadema na wao wakizingua tunawaweka pembeni.
 
Back
Top Bottom