CHADEMA ilikuwa na uwezo wa kupata Wabunge wengi ila kauli tata za Tundu Lissu zimewagharimu

senzighe

JF-Expert Member
Jan 1, 2012
1,982
1,521
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa mtu ametoka huko alikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu.Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura.Kipindi hiki cha magufuli cha miaka 5 wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea urais yote haya yasingetoke sasa hivi .Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi.
Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.Tuhesabu tu maumivu.
MATAGA ilipokuwa Oktoba: "wabunge wa Chadema ni wapinga maendeleo, wasumbufu bungeni afadhali hawapo na bunge litakuwa live"

MATAGA ilipofika November: "Tunawapongeza wabunge wa Chadema kuonesha uzalendo kwenda kuapishwa. Sasa tuchape kazi"

MATAGA/UVCCM ubongo wao ni 'ki WONDER' cha kuchakata upumbavu duniani
 
Ondoa jazba /weka hoja mezani kwa utulivu tutakuelewa mkuu
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu.Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura.Kipindi hiki cha magufuli cha miaka 5 wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea urais yote haya yasingetoke sasa hivi .Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi.
Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.Tuhesabu tu maumivu.
 
Na aliyesema kauliz zifuatazo unamuweka kundi lipi?

1. Nikulipe mshahara, nikupatie gari na nyumba, Kisha umtangaze mpinzani, hiiiiiii.
2. Nataka kufikia mwaka 2020 upinzani uwe umefutika.

Turudi nyuma mwaka mmoja, mwaka 2019 ulipofanyika uchaguzi wa serikali za mitaa, uchaguzi uliharibika kwa kuwa Tundu Lisu aligombea?
Na vipi uchaguzi wa marudio kwa majimbo Kama Kinondoni, mgombea alikuwa Lisu.

Bila shaka senzighe Ni certified IDIOT.
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
CCM sasa ndiyo wasemaji wa chadema? Mateso kuwabambikia kesi kuwapiga risasi hawayakuyaona?
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
Ndivyo wehu unavyoanza.

Kwa hiyo Lisu ndiye aliyetengeneza kura fake na kuzitick kwa wagombea wa CCM?

Ni Lisu ndiye aliyekuwa anabadilisha kura za Magufuli toka 70 kuwa 700.

Ni Lisu ndiye aliyewaambia wasimamizi wa uchaguzi, kwenye kituo ambacho wapiga kura ni wachache sana, wao wasimamizi watick kwa wagombea wa CCM?

Ni Lisu aliyewazuia mawakala wa vyama vya upinzani kuingia kwenye vyumba vya ujumlishaji matokeo?

Ni Lisu ndiye aliyewaengua wagombea wa vyama vya uoinzani ii wagombea wa CCM wapite bila kupingwa?

Endeleeni kumkumbatia shetani lakini mjue shetani hana rafiki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Walioleta Shida yote ni wenye nchi hii siyo mwingine.Analeta shida mwenyewe na sasa anajaribu kwa mguvu zote kuliondoa! You cannot correct mistakes by more mistakes!!!
 
Sarakasi zote zinazotokea ndani ya CHADEMA sababu kubwa ni Tundu Lissu. Chama hiki pendwa kilikuwa na uwezo wa kupata hata wabunge 150 wa kuchaguliwa lakini kutokana na kuweka mgombea urais wa ovyo ambaye ndiye aliyewaharibia hata kwenye majimbo kutokana na kauli zake tata na za ovyo.

Huwezi kuwaambia wapiga kura utaweka rehani rasilimali zao ili upate misaada kutoka nje halafu waje wakupigie kura. Kipindi hiki cha Magufuli cha miaka 5 Wananchi wengi wameamka kuhusu rasilimali zao kwa hiyo wakisikia mengine ya tofauti hawakuelewi.

Kuna watu 'decent' kama akina Mbowe na Nyalandu wangeweza kukipa chama hiki heshima kama mmoja wao angepewa kijiti cha kugombea Urais yote haya yasingetoke sasa hivi.

Hata kama wasingepata urais lakini chama kingevuna wabunge wengi. Sasa jitu limetoka huko lilikotokea mkalikabidhi bendera yenu matokeo ndiyo haya.

Tuhesabu tu maumivu.
LISSU ndio mtu SAHIHI kwa uchaguzi huu na Kama sio wizi wa kura chadema wangeshinda maeneo mengi
Na CCM wanajua wagombea wao wanajua.maandalizi ya wizi yalianza kitambo.ikiwa ni kuajiri watendaji kata makada wasiotia Shaka na wetendaji kata wote waliitwa na mkulu
 
Back
Top Bottom