jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Nimesikia hii kitu kwenye magazeti leo asubuhi kuwa CHADEMA iligoma kusaini makubaliano ya kisheria juu ya muungano huu wa kihuni wa UKAWA.
Kwa muktadha huu UKAWA ni dubwana lisiloelewana wala kuekeweka hivyo mwananchi wa Tanzania hawezi kuwekeza matumaini yake kamwe kwa UKAWA!
Kwa muktadha huu UKAWA ni dubwana lisiloelewana wala kuekeweka hivyo mwananchi wa Tanzania hawezi kuwekeza matumaini yake kamwe kwa UKAWA!