CHADEMA iheshimu protokali, ni "insubordination" kwa Lissu kuongea muda mwingi wakati Mwenyekiti wa chama yupo. Ugombea Urais ulikoma aliposhindwa

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
12,226
20,998
48 LAWS OF POWER.

Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.

Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.

Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.

Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?

Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?

Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.

Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
 
..umeambiwa ulikuwa mkutano wa kumkaribisha Lissu nyumbani.

..ndio maana Mbowe kampa Lissu zawadi ya mbuzi kama ishara ya mapokezi.
Wajanja tumeshanusa jambo, ila Lissu akitaka kutanua mbavu akaanzishe chama chake, atafukuzwa kama mbwa, hatuwezi kukubali mambo yake ya hovyo
 
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.

Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.

Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.

Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?

Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?

Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.

Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Dah! Jamaa unaumia hadi tumbo la kuhara linamuuma. Tafuta tu choo ujifiche huko. Mwamba ndo keshafika.
 
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.

Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.

Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.

Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?

Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?

Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.

Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Wewe endelea kuumia hadi upasuke.
Kakuambia anaanzisha Chama!
Unateseka mno pole!
 
Wewe endelea kuumia hadi upasuke.
Kakuambia anaanzisha Chama!
Unateseka mno pole!
Ndio utajua hujui, Lissu asilete games kwa Mbowe, Mbowe ni profesa wa Siasa, Lissu ni lecturer wa sheria majukwaani, he is not a pure politician, mvue sheria, anabaki mweupe
 
Nashangaa CDM wanapotengeneza zimwi ambalo litawashinda, na limeshaanza kuwashida tayari.

Inaonekana Mbowe ni kiongozi jina tu, mwenye chama ni Lissu.

Hata Hotuba ya mwanza, inaonekana Mbowe alikuwa anamlenga Lissu.

Ni wakati Sasa Mbowe ajionyeshe kwa rangi zake. Kama Silaa na Zitto waliondoka, Lissu ni nani?

Yaani makamu anafoka jukwaani na uwanja wa ndege kumuulizia Mwenyekiti Yuko wapi?

Mbowe nakuamini, hujawahi kushindwa.

Tunajua Lissu anataka kusajili chama chake Cha Siasa.
Mkuu, Kinembe, kumbuka Leo ilikuwa siku maalum kwa Lissu kurudi nchini, kutoa Salam na kushukuru wananchi kwa kumsupport wakati wa uchaguzi.

Sioni tatizo ila kama imekuuma sana saga chupa unywe.
 
Back
Top Bottom