yoga
JF-Expert Member
- Jan 6, 2013
- 1,808
- 8,313
Labda niseme kitu kimoja, na kupongeza kwa kutoa mawazo mazuri sana yenye nia ya kukijenge chadema, nimawazo bora sana yanayo paswa kufanyiwa utekelezaji kama si baadhi basi yote!
Ukweli ni kwambie CHADEMA mnashida moja, kusahau kuwa kila kitu hakikosi mapungufu. Ukijisahau hilo ukajiona kuwa wewe uko sahihi kwa kila jambo basi 100 percent utashindwa kufikisha malengo yako uliyo yapanga! chadema mkijiona mko 100 percent correct kwakila mnacho kifanya the result will be mass failure! kubalini kukoselewa pale panapo hitaji kukosoleka
Ukweli ni kwambie CHADEMA mnashida moja, kusahau kuwa kila kitu hakikosi mapungufu. Ukijisahau hilo ukajiona kuwa wewe uko sahihi kwa kila jambo basi 100 percent utashindwa kufikisha malengo yako uliyo yapanga! chadema mkijiona mko 100 percent correct kwakila mnacho kifanya the result will be mass failure! kubalini kukoselewa pale panapo hitaji kukosoleka