Amanikwenu
Senior Member
- Dec 1, 2009
- 187
- 0
Napenda kuushauri uongozi wa CHADEMA watenge kama shilingi milioni 12 na kuweka matangazo yasiozidi dakika moja kwenye redio angalau tatu. Matangazo hayo kwa kila redio yatangazwe angalau mara nne kila siku mpaka tarehe 30/10/2010. Lengo kuu la matangazo hayo liwe ni kumshawishi na kumhamasisha kila mpiga kura kumchagua mgombea wa CHADEMA katika ngazi zote tatu za Urais Ubunge na Udiwani.