Ciril
JF-Expert Member
- Jan 10, 2011
- 8,558
- 7,156
Chama cha wananchi CUF kimesema CHADEMA hakitoingia ikulu CUF ikiwa hai, hayo yamesemwa na naibu katibu mkuu Tanzania bara Jullius Mtatiro.Alisema CUF imenyaka nyaraka za siri za Chadema zinazoonyesha jinsi CHADEMA kilivyowanunua baadhi ya wanachama wake ktk operation (M4C) yake iliyofanyika maeneo mbali mbali.
Source:Gazeti la Mtanzania.
Maoni yangu; Kama CUF wanao ushahidi wa kutosha ni kwa nini wasiuweke wazi kila mtu aone ukweli wa maneno yao? Kubaki kusema tu ktk vyombo vya habari bila kuweka wazi tutayapuuzia maneno Yao,japo wapo watakaoamini.
Source:Gazeti la Mtanzania.
Maoni yangu; Kama CUF wanao ushahidi wa kutosha ni kwa nini wasiuweke wazi kila mtu aone ukweli wa maneno yao? Kubaki kusema tu ktk vyombo vya habari bila kuweka wazi tutayapuuzia maneno Yao,japo wapo watakaoamini.