Unawezaje kumtofautisha Mtatiro na Nape! Tabia na matendo yao yanafanana kwa kila hali!
Unawezaje kumtofautisha Mtatiro na Nape! Tabia na matendo yao yanafanana kwa kila hali!
cuf = ccm b
nccr = mke wa pili
chadema = nyumba ndogo
Na nyumba ndogo - BAKWATA!
huyooo....! Sura kama kijiko
hata bila ya msaada wa cuf cdm kamwe haitakaa madarakani.. Cdm wanajizika wenyewe kwa siasa za kikanda na kikabila
Unawezaje kumtofautisha Mtatiro na Nape! Tabia na matendo yao yanafanana kwa kila hali!
Unawezaje kumtofautisha Mtatiro na Nape! Tabia na matendo yao yanafanana kwa kila hali!
ukijibiwa najua utapiga kelele kwa mod.Bakwata na na mambo yanayoelezwa yanahusiana vipi au ndo chuki na udini mnaouendekeza.Mbona cdm ni chama kinachoungwa mkono na dini ya wale watu wa GALATIA na hatusemi acheni udini
Alisema hivi hivi wakati anagombea ubunge na Mnyika ubungo
huyooo....! Sura kama kijiko
Na CUF haitakufa milele, kwa hiyo CDM sahau
mkuu leo huendi kwenye shuhuli?
Waislamu ni majambazi- Nape