Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Niltegemea haya. ukitaka kujua hasira ya mke basi mpige mmewe mbele yake
Ni ndo za alinacha kuzani eti CDM wataingia ikulu;mtapata ugonjwa wa moyo bure kushabikia kitu kisichokuwa na mwelekeo.Hata ingekuwa watu wa Mbulu,Karatu na Moshi tu wanachagua Rais wa Tanzania CDM isingeweza shinda ni CCM pekee inayofaa kutupatia Rais Wa tanzania kwani ina viongozi bora wasiyo na matabaka wala ukanda.Kwa watanzania wenye akili wala hawasumbuki na wapiga mayowe ambao wanazani nchi hii ni ya kufanyia majaribio ili kunenepesha matumbo ya mwenye tamaa.
Ameona hali ya Mume inazidi kuwa tete kila siku iendayo kwa Mungu, sasa ameanza kuweweseka. Mume anaelekea kupelekwa ICU, pamoja na "sindano ya kum-boost" aliyojipigwa pale "Chadema square" lakini hali bado inaendelea kuwa utata!Kwi! Kwi! Kwi! Kwi aha ha ha Naona mke kafunguka
Chadema mnajisahau sana, sasa wtz watawaonyesha kuwa mikutano yenu maigizo tu.
Chadema mnajisahau sana, sasa wtz watawaonyesha kuwa mikutano yenu maigizo tu.
Ni ndo za alinacha kuzani eti CDM wataingia ikulu;mtapata ugonjwa wa moyo bure kushabikia kitu kisichokuwa na mwelekeo.Hata ingekuwa watu wa Mbulu,Karatu na Moshi tu wanachagua Rais wa Tanzania CDM isingeweza shinda ni CCM pekee inayofaa kutupatia Rais Wa tanzania kwani ina viongozi bora wasiyo na matabaka wala ukanda.Kwa watanzania wenye akili wala hawasumbuki na wapiga mayowe ambao wanazani nchi hii ni ya kufanyia majaribio ili kunenepesha matumbo ya mwenye tamaa.