Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
Hivi nyie cdm kama sioyi wazazi wake wote ni watanzania tena wa kuzaliwa mnataka yeye aende wapi jamani acheni siasa za maji taka
kitu usichokijua ni sawa na usiku wa giza...kabla hujapost ungejaribu kuuliza kwanza ..jaribu kuomba msaada pale unapokua huelewi jambo..hata kama wazazi wako ni watanzania ila umezaliwa nje ya tanzania..kwa sheria zetu unatakiwa ukifikisha umri wa miaka 18 unaukana uraia wa nchi uliyozaliwa ndo uankua raia rasmi wa Tanzania