Vanpopeye
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 620
- 59
<br />huyu bwana alipimwa juzi akapatikana na malaria 1000!!!!!!!!! anazo dk 2 tu za kuishi!!
<br />
<br />huyu bwana alipimwa juzi akapatikana na malaria 1000!!!!!!!!! anazo dk 2 tu za kuishi!!
<br />Great thinkers hawa wa 2011 .. mna replay posts kwa style hii....<br />
<br />
too childish
Ni mara nyingi huwa nasikia makelele kuhusu matatizo mengi yanayotukabili from hicho chama ila sijawai kuona wamefanya action yoyote kama ni shida watu wanaendelea kupata shida.
Hivi kuna mtu anaeweza kusema cdm imemsaidia nini yaani imemtoa sehemu flani kwenda sehemu flani? Tukubali watanzania kila mtu anaishi kwa akili na juhudi zake mwenyewe hamna cha chama kitukufu wala cha CHADEMA hapa,ULE ,USILE, UUGUE UFE no one cares. Acheni makelele angalieni mbinu mbadala za kujikwamua kimaisha.
<br />Ni mara nyingi huwa nasikia makelele kuhusu matatizo mengi yanayotukabili from hicho chama ila sijawai kuona wamefanya action yoyote kama ni shida watu wanaendelea kupata shida. <br />
<br />
Hivi kuna mtu anaeweza kusema cdm imemsaidia nini yaani imemtoa sehemu flani kwenda sehemu flani? Tukubali watanzania kila mtu anaishi kwa akili na juhudi zake mwenyewe hamna cha chama kitukufu wala cha CHADEMA hapa,<font color="#ff0000">ULE ,USILE, UUGUE UFE no one cares</font>. Acheni makelele angalieni mbinu mbadala za kujikwamua kimaisha.
wakulima wapi? Wewe au mjomba wako au shangazi yako kuna ambae amezipata?