Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,973
- 32,368
Wanabodi JF..
Madiwani saba wa Chadema katika Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha..
Wamesusia kikao cha baraza hilo baada ya kukataliwa kwa hoja ya mmoja wao kuhusu mgogoro wa umeya katika halmashauri hiyo.
Kususa kwa madiwani hao kulitokea baada ya Diwani wa Ngarenaro, Isaya Doita, kusimama na kuibua hoja kuhusu ufumbuzi wa mgogoro wa umeya.
Wakati diwani huyo akiendelea na hoja yake, Diwani wa Terati kupitia CCM, Julius Sekeyani, alisimama na kupinga hoja hiyo..
Huku akisisitiza kuwa watu wa Jiji la Arusha wamechoshwa na mgogoro huo.
Sekeyani alisema kwa sasa wananchi wa Arusha wanataka maendeleo na si malumbano..
Kauli hiyo iliwafanya madiwani wa Chadema kutokuwa na imani na mwenendo wa baraza kwa kuhisi kuwa wamebaguliwa na kuamua kususa..
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17. 2011
Madiwani saba wa Chadema katika Baraza la Madiwani la Halmashauri ya Jiji la Arusha..
Wamesusia kikao cha baraza hilo baada ya kukataliwa kwa hoja ya mmoja wao kuhusu mgogoro wa umeya katika halmashauri hiyo.
Kususa kwa madiwani hao kulitokea baada ya Diwani wa Ngarenaro, Isaya Doita, kusimama na kuibua hoja kuhusu ufumbuzi wa mgogoro wa umeya.
Wakati diwani huyo akiendelea na hoja yake, Diwani wa Terati kupitia CCM, Julius Sekeyani, alisimama na kupinga hoja hiyo..
Huku akisisitiza kuwa watu wa Jiji la Arusha wamechoshwa na mgogoro huo.
Sekeyani alisema kwa sasa wananchi wa Arusha wanataka maendeleo na si malumbano..
Kauli hiyo iliwafanya madiwani wa Chadema kutokuwa na imani na mwenendo wa baraza kwa kuhisi kuwa wamebaguliwa na kuamua kususa..
SOURCE: MWANANCHI DESEMBA 17. 2011