Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,021
Leo katika mahakama kuu ya arusha ilikua ni siku ya kusikilizwa kesi ya inayomkabili Mh. Lema na wanachadema arusha. Kesi imehairishwa mpaka tarehe 20.
Nje ya mahakama Mh.Lema akaongea na wanachadema waliokuja kusikiliza kesi iyo.
Mh Lema alizungumzia msimamo wao kuhusu mswada kuwa CDM hawatarudi nyuma.
Wananchi waliokuwepo mahakamani hapo wakamlalamikia kuhusu mabaunsa(green guards) wa CCM wanawatishia kwa kosa la kuishabikia CDM Lema akasema " jamani mbona mnataka kuniangusha..? nyie ni makamanda msiogope vitisho ili tusonge mbele tujikomboe,mbunge sio lazima akufanyie kila kitu,so msikubali kutishiwa ilimradi hamuui mtu wala hamvunji sheria".
Pia Mh. Lema akasema watafuatilia uonevu huu wa mabaunsa(green guard) wa CCM dhidi ya wanachadema wa arusha, pia kamati kuu ya chadema itaripoti tatizo hili ktk chombo husika ;
Mwisho Lema akawatakia wananchi wa arusha maisha mema na wafunge mikanda km makamanda,kesi mpaka tarehe ishirini.
Nje ya mahakama Mh.Lema akaongea na wanachadema waliokuja kusikiliza kesi iyo.
Mh Lema alizungumzia msimamo wao kuhusu mswada kuwa CDM hawatarudi nyuma.
Wananchi waliokuwepo mahakamani hapo wakamlalamikia kuhusu mabaunsa(green guards) wa CCM wanawatishia kwa kosa la kuishabikia CDM Lema akasema " jamani mbona mnataka kuniangusha..? nyie ni makamanda msiogope vitisho ili tusonge mbele tujikomboe,mbunge sio lazima akufanyie kila kitu,so msikubali kutishiwa ilimradi hamuui mtu wala hamvunji sheria".
Pia Mh. Lema akasema watafuatilia uonevu huu wa mabaunsa(green guard) wa CCM dhidi ya wanachadema wa arusha, pia kamati kuu ya chadema itaripoti tatizo hili ktk chombo husika ;
Mwisho Lema akawatakia wananchi wa arusha maisha mema na wafunge mikanda km makamanda,kesi mpaka tarehe ishirini.