CHADEMA, acheni kuichezea serikali kuweni na nidhamu

Mkuu Ritz.
Nadhani wakati mwingine uwe una weka propaganda pembeni na kupima kwa akili isiyo kuwa na mawaaa, pima umri wa m4c, pima na tofauti ya kura kwa mwaka 2010 na mwaka huu kwenye maeneo ambayo chadema haikusimamisha wagombea. Jiulize kata ambazo ccm wamepoteza ni kata za chama gani?

lakini pia naomba nikuongezee na haya machache hapa chini uyafanyie kazi.

1. Kitendo cha chadema kurudisha kata zake 3 na kuongeza nyingine 2
zilizokuwa za ccm ni ishara tosha kuwa ccm imepoteza lakini haitaki
itasfirike imepoteza kwa kuwa tu imeendelea kubaki na kata (22). Kwa
wachambuzi makini na wapima maendeleo wasio kuwa na vichwa vya
propaganda hili ni anguko na ishara ni kupoteza bila kujalisha upoteza
ngapi hasa pale mpizani wako anapolkuwa amepata kupitia mgongo wako.

2. Chadema kimesimamisha madiwani katika baadhi ya kata ambazo
haikusimamisha madiwani uchaguzi wa mwaka 2010. madiwani hao wameleta
ushindani kwenye kampeni hizo na wameungwa mkono na hivyo kupunguza
idadi ya kura za kupita bila kupingwa, ushiriki wao kwenye uchaguzi
umejenga mizizi mipya na kukipa chama uhai zaidi kwa siku za mbeleni.
hii ni faraja kwa chama.

3. kutokuwa na marekebisho kweye daftari la kudumu la wapiga kura
hakuwezi kutafsiri ushindi kwa ccm kwani tunajua kuwa kuna vijana
wengi wanao iunga mkono chadema ambao wameshiriki kwenye harakati za
chama lakini hawakuweza kupiga kura, hii ndio imekuwa hofu ya ccm siku
zote zinapotokea chaguzi.

4. kuendelea kuripotiwa kuwa kumetokea kura za maruhani maana yake ni
kwamba ccm wanaogopa kushindwa, unapokuwa unaogopa huku hasimu wako
akijiamini kupambana na wewe, wewe unaye ogopa ki-saikoloji na ki
mikakati inatafsrika kuwa umepoteza.
 
Jobi,
Mafao ya kujitoa sio kazi ya Chadema ni wananchi wenyewe ndio wamelalamika kwa Rais, bahati nzuri JK msikivu kawasikiliza Watanzania msitake kudandia hoja.....

Huyo unayemuita "msikivu" ndiye aliyesikia kuwa RUSHWA ilitumika kupata viongozi wa jumuiya zooote za ccm, na alitutangazia kupitia hotuba yake, tuambie uko wapi unaodai "usikivu" wa kikwete, au una maana ameidhinisha matumizi ya mlungula? ama alisubiri chadema waanzishe harakati za kupinga ndio vimasikio vyake vizibuke.
 
Kikubwa hapa ni kwamba serikali isiendelee kulea viongozi ambao kila kukicha ni kuitukana, kuikejeli na kuitusi. Lakini zaidi viongozi wa Chadema wafahamu kuwa nchi hii ni yetu sote, tunaipenda sana tusingependa kuona ikiingizwa katika machafuko kwa sababu ya kutaka kuwafurahisha watu wao.
 
Kama serikali hii inatisha kwa kiwango hicho ingepambana na Rushwa,umasikini,naradhi na ujinga(ambao ndiyo silaha yake kuu)

Matokeo ya uchaguzi chini ya mfumo huu bado si reflection ya mafanikio ya Chadema kwa kuwa vijana wengi ambao ndiyo wafuasi na wapiga kura wa Chadema hawajaorodheshwa kwenye daftari la wapiga kura.Mafanikio yangekua makubwa zaidi ya haya.
 
  • Thanks
Reactions: MC
tunashukuru mkuu

No.KATACCMCDMJumlaTofautiTofauti Asili mia
1Magomeni (Pwani)1,478.004791,957.0099951.047522
2Bangata1,117.008811,998.0023611.811812
3Daraja mbili1,324.002,193.003,517.00-869-24.70856
4Mahenge7104441,154.0026623.05026
5Mtibwa1,372.003,096.004,468.00-1,724.00-38.5855
6Mtele9952971,292.0069854.024768
7Mpapai1,443.002801,723.001,163.0067.498549
8Luwumbu
5652559054091.525424
9Malangali1,247.001,418.002,665.00-171-6.41651
10Lwezera1,317.009252,242.0039217.484389
11Makata8083884677091.016548
12Mlelomiembeni81813895668071.129707
13Minyenze37816754521138.715596
14Karitu8543541,208.0050041.390728
15Kiloleni64816681448259.213759
16Ipole365568933-203-21.75777
17Bugarama
18Mwananza7945751,369.0021915.997078
19Lubili1,108.006201,728.0048828.240741
20Kitagiri1,416.001571,573.001,259.0080.038144
21Kikokona1,149.003671,516.0078251.583113
22Nanjaraneha1,128.002,370.003,498.00-1,242.00-35.506
23Kilema Kusini7847341,518.00503.2938076
24Vugiri1,460.003371,797.001,123.0062.493044
25Tamota
1,060.007721,832.0028815.720524
26Msalato8694501,319.0041931.76649
27Mpwapwa1,722.001,189.002,911.0053318.309859
28Myovizi1,726.001,498.003,224.002287.0719603
29Mpapa9033101,213.0059348.887057
JUMLA29,558.0020,848.00
50,406.008,710.0017.279689



Ongzea na hii
 
Thank u,wenye akili timamu na utambuzi hatuwez poteza muda wetu kutekeleza maamrisho ya watu wafa maji kama Mbowe na Slaa.

Nadhani walikua na matumaini makubwa sana ya kuchukua nchi hii,na kadir siku zinavozid kuyoyoma wanaiona waz waz kua ndoto yao inaelekea kuzimu wameacha kunadi sera zao sasa wameanza mapema kabisa kutafuta huruma kwa watz ila nayo pia haitawasaidiaa.
 
Mkuu Ritz,

Moja ule msemo wa kiingereza unasema "never ARGUE with the fool...." na si "never URGUE with the fool....'

Pili, lete ushahidi hapa uliothibitika uhusikaji wa CHADEMA katika migomo ya madaktari, otherwise kubali kuwa una lako jambo hapa.

Tatu, unasema wao kuwa madai yao wanayatoa kupitia vyombo vya habari..unataka wayatolee wapi hayo madai?
Unadhani ulinzi wa wananchi ngazi ya Polisi ndio mwisho(ya juu kabisa)??..Au unadhani ni Tanzania tu ambako watu wanaweza kwenda beyond Police Security level kama hawaaminiki?

At times sijui kama huwa unajua unachokiandika.
 
No.KATACCMCDMJumlaTofautiTofauti Asili mia
1Magomeni (Pwani)1,478.004791,957.0099951.047522
2Bangata1,117.008811,998.0023611.811812
3Daraja mbili1,324.002,193.003,517.00-869-24.70856
4Mahenge7104441,154.0026623.05026
5Mtibwa1,372.003,096.004,468.00-1,724.00-38.5855
6Mtele9952971,292.0069854.024768
7Mpapai1,443.002801,723.001,163.0067.498549
8Luwumbu5652559054091.525424
9Malangali1,247.001,418.002,665.00-171-6.41651
10Lwezera1,317.009252,242.0039217.484389
11Makata8083884677091.016548
12Mlelomiembeni81813895668071.129707
13Minyenze37816754521138.715596
14Karitu8543541,208.0050041.390728
15Kiloleni64816681448259.213759
16Ipole365568933-203-21.75777
17Bugarama
18Mwananza7945751,369.0021915.997078
19Lubili1,108.006201,728.0048828.240741
20Kitagiri1,416.001571,573.001,259.0080.038144
21Kikokona1,149.003671,516.0078251.583113
22Nanjaraneha1,128.002,370.003,498.00-1,242.00-35.506
23Kilema Kusini7847341,518.00503.2938076
24Vugiri1,460.003371,797.001,123.0062.493044
25Tamota1,060.007721,832.0028815.720524
26Msalato8694501,319.0041931.76649
27Mpwapwa1,722.001,189.002,911.0053318.309859
28Myovizi1,726.001,498.003,224.002287.0719603
29Mpapa9033101,213.0059348.887057
JUMLA29,558.0020,848.00
50,406.008,710.0017.279689



Ongzea na hii.....[/QUOTE]

Mkuu naona Chadema na nyie mmekuja kama Ridet na Dr Benson Bana, kwa takwimu.
 
Jobi,
Mafao ya kujitoa sio kazi ya Chadema ni wananchi wenyewe ndio wamelalamika kwa Rais, bahati nzuri JK msikivu kawasikiliza Watanzania msitake kudandia hoja.


Kwa hiyo wakati sheria tata inajadiliwa katika mchakato wa awali, inajadiliwa na wadau husika, inaenda kwa baraza la mawaziri linaloongozwa na rais huyo huyo, muswada unaletwa bungeni, rais huyo alikuwa wapi? Hakuusoma, kuuelewa na kung'amua mapungufy yake? Kwanini taifa na hasa wadau wa mifuko ya hifadhi ya jamii wawekwe katika stress? Waliopinga mpaka ukabadilishwa kweli unawatoa CDM na upinzani? Basi wewe sio objective minded. Nachelea kusema unafikiri mithiri ya mwanasesere. Sorry as the latter might sound irritating lakini have no any other term sweeten it
 
Mkuu Ritz.
Nadhani wakati mwingine uwe una weka propaganda pembeni na kupima kwa akili isiyo kuwa na mawaaa, pima umri wa m4c, pima na tofauti ya kura kwa mwaka 2010 na mwaka huu kwenye maeneo ambayo chadema haikusimamisha wagombea. Jiulize kata ambazo ccm wamepoteza ni kata za chama gani?

lakini pia naomba nikuongezee na haya machache hapa chini uyafanyie kazi.

1. Kitendo cha chadema kurudisha kata zake 3 na kuongeza nyingine 2
zilizokuwa za ccm ni ishara tosha kuwa ccm imepoteza lakini haitaki
itasfirike imepoteza kwa kuwa tu imeendelea kubaki na kata (22). Kwa
wachambuzi makini na wapima maendeleo wasio kuwa na vichwa vya
propaganda hili ni anguko na ishara ni kupoteza bila kujalisha upoteza
ngapi hasa pale mpizani wako anapolkuwa amepata kupitia mgongo wako.

2. Chadema kimesimamisha madiwani katika baadhi ya kata ambazo
haikusimamisha madiwani uchaguzi wa mwaka 2010. madiwani hao wameleta
ushindani kwenye kampeni hizo na wameungwa mkono na hivyo kupunguza
idadi ya kura za kupita bila kupingwa, ushiriki wao kwenye uchaguzi
umejenga mizizi mipya na kukipa chama uhai zaidi kwa siku za mbeleni.
hii ni faraja kwa chama.

3. kutokuwa na marekebisho kweye daftari la kudumu la wapiga kura
hakuwezi kutafsiri ushindi kwa ccm kwani tunajua kuwa kuna vijana
wengi wanao iunga mkono chadema ambao wameshiriki kwenye harakati za
chama lakini hawakuweza kupiga kura, hii ndio imekuwa hofu ya ccm siku
zote zinapotokea chaguzi.

4. kuendelea kuripotiwa kuwa kumetokea kura za maruhani maana yake ni
kwamba ccm wanaogopa kushindwa, unapokuwa unaogopa huku hasimu wako
akijiamini kupambana na wewe, wewe unaye ogopa ki-saikoloji na ki
mikakati inatafsrika kuwa umepoteza.

Naona unakuja na maneno mengi ambayo hayaeleweki Chadema sio chama siasa ni kikundi cha watu.
 
No.
KATA
CCM
CDM
Jumla
Tofauti
Tofauti Asili mia
1
Magomeni (Pwani)
1,478.00
479
1,957.00
999
51.047522
2
Bangata
1,117.00
881
1,998.00
236
11.811812
3
Daraja mbili
1,324.00
2,193.00
3,517.00
-869
-24.70856
4
Mahenge
710
444
1,154.00
266
23.05026
5
Mtibwa
1,372.00
3,096.00
4,468.00
-1,724.00
-38.5855
6
Mtele
995
297
1,292.00
698
54.024768
7
Mpapai
1,443.00
280
1,723.00
1,163.00
67.498549
8
Luwumbu
565
25
590
540
91.525424
9
Malangali
1,247.00
1,418.00
2,665.00
-171
-6.41651
10
Lwezera
1,317.00
925
2,242.00
392
17.484389
11
Makata
808
38
846
770
91.016548
12
Mlelomiembeni
818
138
956
680
71.129707
13
Minyenze
378
167
545
211
38.715596
14
Karitu
854
354
1,208.00
500
41.390728
15
Kiloleni
648
166
814
482
59.213759
16
Ipole
365
568
933
-203
-21.75777
17
Bugarama
18
Mwananza
794
575
1,369.00
219
15.997078
19
Lubili
1,108.00
620
1,728.00
488
28.240741
20
Kitagiri
1,416.00
157
1,573.00
1,259.00
80.038144
21
Kikokona
1,149.00
367
1,516.00
782
51.583113
22
Nanjaraneha
1,128.00
2,370.00
3,498.00
-1,242.00
-35.506
23
Kilema Kusini
784
734
1,518.00
50
3.2938076
24
Vugiri
1,460.00
337
1,797.00
1,123.00
62.493044
25
Tamota
1,060.00
772
1,832.00
288
15.720524
26
Msalato
869
450
1,319.00
419
31.76649
27
Mpwapwa
1,722.00
1,189.00
2,911.00
533
18.309859
28
Myovizi
1,726.00
1,498.00
3,224.00
228
7.0719603
29
Mpapa
903
310
1,213.00
593
48.887057
JUMLA
29,558.00
20,848.00

50,406.00
8,710.00
17.279689

Sihitaji kucomment juu ya haya mauza uza ya ritz isipokuwa hapo kwenye red. Kata ya Mpapai(no.7) iko wapi na kata ya mpapa(no.29) iko wapi? isijekuwa kuna makosa ya kiuandishi hapo.
 
Chadema wamezunguka dunia nzima na wakasema wamechangisha shilingi bilioni tano kwa ajili ya M4C (Movement for Change) ndio imezaa kata 3. Kwako ndio mafanikio mmetumia Chopa 3 kwa ajili ya M4C na hatimaye mmepata kata 3.

Dunia ina maajabu yake, kuna jamaa alifunga ndoa kama leo .......... baada ya siku tatu akawa anamgombeza mke wake.... 'kwamba mbona mtoto hatokei' ''nitakurudisha kwenu mimi..... mwezi mzima umekwisha mtoto hakuna'' !!
 
Kwa hiyo wakati sheria tata inajadiliwa katika mchakato wa awali, inajadiliwa na wadau husika, inaenda kwa baraza la mawaziri linaloongozwa na rais huyo huyo, muswada unaletwa bungeni, rais huyo alikuwa wapi? Hakuusoma, kuuelewa na kung'amua mapungufy yake? Kwanini taifa na hasa wadau wa mifuko ya hifadhi ya jamii wawekwe katika stress? Waliopinga mpaka ukabadilishwa kweli unawatoa CDM na upinzani? Basi wewe sio objective minded. Nachelea kusema unafikiri mithiri ya mwanasesere. Sorry as the latter might sound irritating lakini have no any other term sweeten it

Serika iliyoko madarakani imeingia kihalali na ina utaratibu wake wa kufanya kazi zake usitake sirikali ifanya kazi zake kwa kukufurahisha wewe Pro-Chadema.
 
Kama serikali hii inatisha kwa kiwango hicho ingepambana na Rushwa,umasikini,naradhi na ujinga(ambao ndiyo silaha yake kuu)

Matokeo ya uchaguzi chini ya mfumo huu bado si reflection ya mafanikio ya Chadema kwa kuwa vijana wengi ambao ndiyo wafuasi na wapiga kura wa Chadema hawajaorodheshwa kwenye daftari la wapiga kura.Mafanikio yangekua makubwa zaidi ya haya

Tusiwaamshe hawa, wamelala usingizi mnono, hawajui mtoto wa miaka 13 mwka 2010 atapiga kura 2015, hawajui ni mambo gani yatabadilishwa kati ya 2010 na 2015. Ugimbi wa madaraka umewapa usingizi mnono, tusiwaamshe tafadhali
 
Mkuu Ritz,

Moja ule msemo wa kiingereza unasema "never ARGUE with the fool...." na si "never URGUE with the fool....'

Pili, lete ushahidi hapa uliothibitika uhusikaji wa CHADEMA katika migomo ya madaktari, otherwise kubali kuwa una lako jambo hapa.

Tatu, unasema wao kuwa madai yao wanayatoa kupitia vyombo vya habari..unataka wayatolee wapi hayo madai?
Unadhani ulinzi wa wananchi ngazi ya Polisi ndio mwisho(ya juu kabisa)??..Au unadhani ni Tanzania tu ambako watu wanaweza kwenda beyond Police Security level kama hawaaminiki?

At times sijui kama huwa unajua unachokiandika.

Hayo maneno yako ya mwisho kwenye post yako sina cha kukujibu mkuu.
 
Dunia ina maajabu yake, kuna jamaa alifunga ndoa kama leo .......... baada ya siku tatu akawa anamgombeza mke wake.... 'kwamba mbona mtoto hatokei' ''nitakurudisha kwenu mimi..... mwezi mzima umekwisha mtoto hakuna'' !!

Haha...nzuri sana hii..immaturity sio?..haha.
 
Tusiwaamshe hawa, wamelala usingizi mnono, hawajui mtoto wa miaka 13 mwka 2010 atapiga kura 2015, hawajui ni mambo gani yatabadilishwa kati ya 2010 na 2015. Ugimbi wa madaraka umewapa usingizi mnono, tusiwaamshe tafadhali

Umeipata wapi hao wato wa miaka 13 wote watakuwa Chadema?
 
Hayo maneno yako ya mwisho kwenye post yako sina cha kukujibu mkuu......


Nimeuliza kwa MAKUSUDI kwa sababu NAJUA UNAUJUA ukweli Ritz, then kwanini uupotoshe)??...Okay, kama huna cha kujibu, mkuu.i

how about maswali niliyouliza?! Or you think they are irrelevant!
 
Mkuu Ritz umesema "Naona unakuja na maneno mengi ambayo hayaeleweki Chadema sio chama siasa ni kikundi cha watu".

Hapa ndio huwa nashindwa kuelewa uwezo wako wa kupima mambo! Umeikacha hoja kwenye mada yako uliyoleta mwenyewe unarukia vioja!!! kama kauli yako ina mashiko na umeitoa bila akili kupiga mbizi basi kikundi cha watu waliosajiliwa na CCM kwa kufuata sheria na kanuni zilizo chini ya Tendwa ni kikundi makini ambacho hata mapoyoyo walioko ccm inabidi wajiunge nacho.

Serikali dhaifu inangoja nini kufuta kikundi hiki?
 
Back
Top Bottom