CHADEMA, acheni kuichezea serikali kuweni na nidhamu

Ritz

JF-Expert Member
Jan 1, 2011
46,976
32,380
Wanabodi.

Chadema mnatakiwa kujitathimi upya na harakati zenu za kisiasa toka mlipotoka mpaka mnapoelekea hivi sasa. Acheni kuichezea serikali.

Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema walianza kwa kupinga matokeo ya Rais yaliyompa ushindi Jakaya Kikwete, wakasusa kuhudhuria tukio la kutangaza matokeo pale viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Wakasusa sherehe za kuapishwa kwa Rais, wabunge wao wakatoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akizindua Bunge la Tanzania, kwa madai ya kutomtambua Rais.

Hawakuishia hapo, baada ya ndoto zao za kuingia Ikulu kusambaratishwa na Watanzania, viongozi wa Chadema wakaanza kuandaa maandamano katika mikoa mbalimbali wakafanya hivyo Arusha, Mwanza, Mbeya, Songea, na Katibu Mkuu Dr Slaa aliendelea kuwahamasisha wafusi wake waingie barabarani kwa madai kaibiwa kura na nchi haitatawalika tena. Baadae huyo huyo Dr Slaa akawaongoza wenzake kwenda Ikulu kupeleka malalamiko yao kwa Rais ambaye hawamtambui.

Chadema wakajiingiza kwenye migogoro ya migomo ya madaktari, walimu wakijifanya wanawasaidia, ziku hizi Chadema inawazushia Idara ya Usalama Taifa inazua kila jambo la hovyo. Walianza kulitumia gazeti moja kuishambulia Idara ya Usalama Taifa. Lakini mpya ni tamko lililotolewa mbele ya waandishi wa habari na Mwenyekiti wake Mbowe, ati wamegundua mpango kabambe wa Idara ya Usalama wa Taifa inataka kuwauwa viongozi wa Chadema. Wakadai wana ushahidi lakini hawako tayari kuupeleka polisi.

Madai kama hayo wanapoyatoa kupitia vyombo vya habari wanataka Watanzania tufanye nini! Tuwaonee huruma, tuione serikali kuwa ni dhalimu, au hao wanaowindwa wana nafasi gani kwa familia zetu? Propaganda za kitoto kabisa.

Serikali isitumie ule msemo wa kiingereza wa "Never urgue with a fool, people will never notice the difference" Hawa si "fools". Walishasema nchi haitatawalika.

Bahati nzuri Watanzania wametoa hukumu sahihi kwenye uchaguzi wa madiwani katika kata 29.

Copy to.. chama, Ngongo, Pasco, zomba, Mungi, na wanabodi wote.
 
Last edited by a moderator:
Wanabodi.

Chadema mnatakiwa kujitathimi upya na harakati zenu za kisiasa toka mlipotoka mpaka mnapoelekea hivi sasa. Acheni kuichezea serikali.

Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema walianza kwa kupinga matokeo ya Rais yaliyompa ushindi Jakaya Kikwete, wakasusa kuhudhuria tukio la kutangaza matokeo pale viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Wakasusa sherehe za kuapishwa kwa Rais, wabunge wao wakatoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akizindua Bunge la Tanzania, kwa madai ya kutomtambua.

Hawakuishia hapo, baada ya ndoto zao za kuingia Ikulu kusambaratishwa na Watanzania, viongozi wa Chadema wakaanza kuandaa maandamano katika mikoa mbalimbali wakafanya hivyo Arusha, Mwanza, Mbeya, Songea, na Katibu Mkuu Dr Slaa aliendelea kuwahamasisha wafusi wake waingie barabarani kwa madai kaibiwa kura na nchi haitatawalika tena.

Chadema wakajiingiza kwenye migogoro ya migomo ya madaktari, walimu wakijifanya wanawasaidia, ziku hizi Chadema inawazushia Idara ya Usalama Taifa inazua kila jambo la hovyo. Walianza kulitumia gazeti moja kuishambulia Idara ya Usalama Taifa. Lakini mpya ni tamko lililotolewa mbele ya waandishi wa habari na Mwenyekiti wake Mbowe, ati wamegundua mpango kabambe wa Idara ya Usalama wa Taifa inataka kuwauwa viongozi wa Chadema. Wakadai wana ushahidi lakini hawako tayari kuupeleka polisi.

Madai kama hayo wanapoyatoa kupitia vyombo vya habari wanataka Watanzania tufanye nini! Tuwaonee huruma, tuione serikali kuwa ni dhalimu, au hao wanaowindwa wana nafasi gani kwa familia zetu? Propaganda za kitoto kabisa.

Serikali isitumie ule msemo wa kiingereza wa "Never urgue with a fool, people will never notice the difference" Hawa si "fools". Walishasema nchi haitatawalika.

Bahati nzuri Wantazania wametoa hukumu sahihi kwenye wa uchaguzi wa madiwani katika kata 29.



Subiri utapewa ukuu wa wilaya mwakani kwa kuitetea serikali ya chama chako.!!!!!!!!
 
Ukifikiria kwa kutumia tumbo kuna mambo ya msingi huwezi kuyaona mpaka mchuzi unapokuwa umekwisha kwenye kibakuli.
Ji ulize haya japo kwa akili za kupiga mbizi.
1. kati ya hizo kata 29 unazo sema za ccm zilikuwa ngapi na chadema ngapi?
2. chadema imeongeza kata za chama gani? jee inazidi kuumarika na ccm kuendelea kudhoofika au akili ya kawaida inakutumaje?
3. mauwaji yaliyotokea yalisababishwa na nani kwa kutumiwa na nani? Je yangewezekana kwa viongozi wa chadema? kama ndiyo ni nani wangeweza kuuwa? (Fungua ubongo ukumbuke tukio la Mwangosi)
 
Ukifikiria kwa kutumia tumbo kuna mambo ya msingi huwezi kuyaona mpaka mchuzi unapokuwa umekwisha kwenye kibakuli.
Ji ulize haya japo kwa akili za kupiga mbizi.
1. kati ya hizo kata 29 unazo sema za ccm zilikuwa ngapi na chadema ngapi?
2. chadema imeongeza kata za chama gani? jee inazidi kuumarika na ccm kuendelea kudhoofika au akili ya kawaida inakutumaje?
3. mauwaji yaliyotokea yalisababishwa na nani kwa kutumiwa na nani? Je yangewezekana kwa viongozi wa chadema? kama ndiyo ni nani wangeweza kuuwa? (Fungua ubongo ukumbuke tukio la Mwangosi)


Mtoi wewe sio mjinga kiasi kinachoangaliwa sio kutetea kata au kasi ya kushinda kata moja au mbili, kinachoongelewa ni nguvu ya kupata kata hizo na kupima mafanikio kwa chama chenye zaidi ya miaka ishirini kikizidi kufaidi ruzuku yetu.
 
serikali imesalimu amri kwa "peoples power" na kurejesha fao la kujitoa kwenye mifuko ya jamii, sasa wewe Ritz huoni kuwa anayewachezea wenzake ni serikali, na wala si chadema.

ilikula njama za kuwadhulumu wanachama wa mifuko hiyo. ukilijua hili utaacha porojo za kivukoni na lumumba.
 
Last edited by a moderator:
Ukifikiria kwa kutumia tumbo kuna mambo ya msingi huwezi kuyaona mpaka mchuzi unapokuwa umekwisha kwenye kibakuli.
Ji ulize haya japo kwa akili za kupiga mbizi.
1. kati ya hizo kata 29 unazo sema za ccm zilikuwa ngapi na chadema ngapi?
2. chadema imeongeza kata za chama gani? jee inazidi kuumarika na ccm kuendelea kudhoofika au akili ya kawaida inakutumaje?
3. mauwaji yaliyotokea yalisababishwa na nani kwa kutumiwa na nani? Je yangewezekana kwa viongozi wa chadema? kama ndiyo ni nani wangeweza kuuwa? (Fungua ubongo ukumbuke tukio la Mwangosi)

Chadema wamezunguka dunia nzima na wakasema wamechangisha shilingi bilioni tano kwa ajili ya M4C (Movement for Change) ndio imezaa kata 3. Kwako ndio mafanikio mmetumia Chopa 3 kwa ajili ya M4C na hatimaye mmepata kata 3.
 
No.KATACCMCDMJumlaTofautiTofauti Asili mia
1Magomeni (Pwani)1,478.004791,957.0099951.047522
2Bangata1,117.008811,998.0023611.811812
3Daraja mbili1,324.002,193.003,517.00-869-24.70856
4Mahenge7104441,154.0026623.05026
5Mtibwa1,372.003,096.004,468.00-1,724.00-38.5855
6Mtele9952971,292.0069854.024768
7Mpapai1,443.002801,723.001,163.0067.498549
8Luwumbu5652559054091.525424
9Malangali1,247.001,418.002,665.00-171-6.41651
10Lwezera1,317.009252,242.0039217.484389
11Makata8083884677091.016548
12Mlelomiembeni81813895668071.129707
13Minyenze37816754521138.715596
14Karitu8543541,208.0050041.390728
15Kiloleni64816681448259.213759
16Ipole365568933-203-21.75777
17Bugarama
18Mwananza7945751,369.0021915.997078
19Lubili1,108.006201,728.0048828.240741
20Kitagiri1,416.001571,573.001,259.0080.038144
21Kikokona1,149.003671,516.0078251.583113
22Nanjaraneha1,128.002,370.003,498.00-1,242.00-35.506
23Kilema Kusini7847341,518.00503.2938076
24Vugiri1,460.003371,797.001,123.0062.493044
25Tamota1,060.007721,832.0028815.720524
26Msalato8694501,319.0041931.76649
27Mpwapwa1,722.001,189.002,911.0053318.309859
28Myovizi1,726.001,498.003,224.002287.0719603
29Mpapa9033101,213.0059348.887057
JUMLA29,558.0020,848.00
50,406.008,710.0017.279689



Ongzea na hii
Wanabodi.

Chadema mnatakiwa kujitathimi upya na harakati zenu za kisiasa toka mlipotoka mpaka mnapoelekea hivi sasa. Acheni kuichezea serikali.

Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema walianza kwa kupinga matokeo ya Rais yaliyompa ushindi Jakaya Kikwete, wakasusa kuhudhuria tukio la kutangaza matokeo pale viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Wakasusa sherehe za kuapishwa kwa Rais, wabunge wao wakatoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akizindua Bunge la Tanzania, kwa madai ya kutomtambua Rais.

Hawakuishia hapo, baada ya ndoto zao za kuingia Ikulu kusambaratishwa na Watanzania, viongozi wa Chadema wakaanza kuandaa maandamano katika mikoa mbalimbali wakafanya hivyo Arusha, Mwanza, Mbeya, Songea, na Katibu Mkuu Dr Slaa aliendelea kuwahamasisha wafusi wake waingie barabarani kwa madai kaibiwa kura na nchi haitatawalika tena. Baadae huyo huyo Dr Slaa akawaongoza wenzake kwenda Ikulu kupeleka malalamiko yao kwa Rais ambaye hawamtambui.

Chadema wakajiingiza kwenye migogoro ya migomo ya madaktari, walimu wakijifanya wanawasaidia, ziku hizi Chadema inawazushia Idara ya Usalama Taifa inazua kila jambo la hovyo. Walianza kulitumia gazeti moja kuishambulia Idara ya Usalama Taifa. Lakini mpya ni tamko lililotolewa mbele ya waandishi wa habari na Mwenyekiti wake Mbowe, ati wamegundua mpango kabambe wa Idara ya Usalama wa Taifa inataka kuwauwa viongozi wa Chadema. Wakadai wana ushahidi lakini hawako tayari kuupeleka polisi.

Madai kama hayo wanapoyatoa kupitia vyombo vya habari wanataka Watanzania tufanye nini! Tuwaonee huruma, tuione serikali kuwa ni dhalimu, au hao wanaowindwa wana nafasi gani kwa familia zetu? Propaganda za kitoto kabisa.

Serikali isitumie ule msemo wa kiingereza wa "Never urgue with a fool, people will never notice the difference" Hawa si "fools". Walishasema nchi haitatawalika.

Bahati nzuri Watanzania wametoa hukumu sahihi kwenye uchaguzi wa madiwani katika kata 29.

Copy to.. chama, Ngongo, Pasco, zomba, Mungi, na wanabodi wote.
 
Mambo mangapi serikali imefanya kwa juhudi za wapinzani? Upinzani wa kweli tanzania haupo sabb vyama vingi vya upinzani ni mamluki kwa ccm, kikitokea chama sahihi Tz kinaandamwa na mtu yeyote mwenye sera ya kupinga rushwa kwa dhati hatakiwi ndani ya ccm wanapenda political comedy.
 
Mtoi wewe sio mjinga kiasi kinachoangaliwa sio kutetea kata au kasi ya kushinda kata moja au mbili, kinachoongelewa ni nguvu ya kupata kata hizo na kupima mafanikio kwa chama chenye zaidi ya miaka ishirini kikizidi kufaidi ruzuku yetu.

Mtabadilisha slogan kila kukicha, kamba inazidi kukaza. Mkuu Ecoli, unaweza kuutumia leo msemo wa "chadema ni chama cha msimu?" naamini mnachofanya sasa ni kukusanya ushahidi unaowafelisha. CCM MMEKWISHA!!!
 
Last edited by a moderator:
Nidhamu kwa nani? Huwezi kuwa na nidhamu kwa mpumbavu hata siku moja!!!!!
Utakuwa na nidhamu kwa anayestahili kupewa haki ya Nidhamu.

CHADEMA wameonyesha kwa vitendo, na wameonyesha kuwa wananidhamu, lakini siyo waoga.
Wamewaonyesha watanzania kwa vitendo kuwa wapo tayari hata kufa kwa ajili ya kutetea haki zao ambazo zimekandamizwa na serikali ya kifisadi chini ya utawala wa ccm.
CHADEMA wataendelea kuwa na nidhamu siku zote, wataendelea kuwa na nidhamu kwa wanyonge, lakini kamwa hawataweza kuwa na nidhamu kwa wahuni na wapumbavu
 
Vilevile CDM wameanzisha UAMSHO na kupelekea uvunjifu wa amani Zanzibar. Wamechochea UDINI kuanzia kule IGUNGA na hata kufikia kukataza watu wasihesabiwe. Wakafika mbali mpaka kuwaachia waalifu kama kina Ponda kwa shinikizo, wakamwachia muuwaji aliyemchinja Marehemu Mbwambo kule USA river. Nasasa kuona hili la kuzuia mafao mpaka ufikie umri wa kustaafu limeshindikana, wakaamua kuhamasisha rushwa na fujo kwenye chaguzi zote za ndani za CCM. Wamewashawishi viongozi wa CCM kutishiana bastola na hata kuzifyatua pasipo sababu za msingi. Wameigeuza TAKUKURU kuwa chombo cha kupalilia na kusafisha wala RUSHWA kwa kutumia kodi za wananchi. Kwa haya yangu machache pia, CDM acheni kuichezea SERIKALI.
 
Wanabodi.

Chadema mnatakiwa kujitathimi upya na harakati zenu za kisiasa toka mlipotoka mpaka mnapoelekea hivi sasa. Acheni kuichezea serikali.

Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema walianza kwa kupinga matokeo ya Rais yaliyompa ushindi Jakaya Kikwete, wakasusa kuhudhuria tukio la kutangaza matokeo pale viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Wakasusa sherehe za kuapishwa kwa Rais, wabunge wao wakatoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akizindua Bunge la Tanzania, kwa madai ya kutomtambua Rais.

Hawakuishia hapo, baada ya ndoto zao za kuingia Ikulu kusambaratishwa na Watanzania, viongozi wa Chadema wakaanza kuandaa maandamano katika mikoa mbalimbali wakafanya hivyo Arusha, Mwanza, Mbeya, Songea, na Katibu Mkuu Dr Slaa aliendelea kuwahamasisha wafusi wake waingie barabarani kwa madai kaibiwa kura na nchi haitatawalika tena. Baadae huyo huyo Dr Slaa akawaongoza wenzake kwenda Ikulu kupeleka malalamiko yao kwa Rais ambaye hawamtambui.

Chadema wakajiingiza kwenye migogoro ya migomo ya madaktari, walimu wakijifanya wanawasaidia, ziku hizi Chadema inawazushia Idara ya Usalama Taifa inazua kila jambo la hovyo. Walianza kulitumia gazeti moja kuishambulia Idara ya Usalama Taifa. Lakini mpya ni tamko lililotolewa mbele ya waandishi wa habari na Mwenyekiti wake Mbowe, ati wamegundua mpango kabambe wa Idara ya Usalama wa Taifa inataka kuwauwa viongozi wa Chadema. Wakadai wana ushahidi lakini hawako tayari kuupeleka polisi.

Madai kama hayo wanapoyatoa kupitia vyombo vya habari wanataka Watanzania tufanye nini! Tuwaonee huruma, tuione serikali kuwa ni dhalimu, au hao wanaowindwa wana nafasi gani kwa familia zetu? Propaganda za kitoto kabisa.

Serikali isitumie ule msemo wa kiingereza wa "Never urgue with a fool, people will never notice the difference" Hawa si "fools". Walishasema nchi haitatawalika.

Bahati nzuri Watanzania wametoa hukumu sahihi kwenye uchaguzi wa madiwani katika kata 29.

Copy to.. chama, Ngongo, Pasco, zomba, Mungi, na wanabodi wote.

Wewe si USALAMA wa TAIFA? Mbuni huficha kichwa chake ndani ya Mchanga!!!!
 
Chadema wamezunguka dunia nzima na wakasema wamechangisha shilingi bilioni tano kwa ajili ya M4C (Movement for Change) ndio imezaa kata 3. Kwako ndio mafanikio mmetumia Chopa 3 kwa ajili ya M4C na hatimaye mmepata kata 3.

Huu ni upotoshaji wa makusudi na wa kijinga. M4C imepita Mtwara Lindi na Morogoro. Ilizinduliwa Jangwani. Morogoro CDM imechukua kata moja. Lakini kupata kata 3 katika mazingira yale ya uchaguzi ni kichaa pekee atakayeona CDM haijafanya vizuri
 
wabunge wao wakatoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akizindua Bunge la Tanzania, kwa madai ya kutomtambua Rais.
kumbe hukujua hata kwa nini walitoka nje? Pole sana... ila majibu ya kutoka nje ni watanzania wameyajua/ wameyaona "katiba Mpya" iyoooo

Bahati nzuri Watanzania wametoa hukumu sahihi kwenye uchaguzi wa madiwani katika kata 29.

Ndio maana huwa nakuita KILAZA, watanazania wapo kata29 tu?
Hivi Tanzania ina kata ngapi na hizo unazopima ni asilimia ngap ya kata Zote Tanzania...
kwa kutumia sample ya kata29 tu, unatoa conclusion ya kushindwa?

Kweli Umenena vema "Never urgue with a fool, people will never notice the difference"
 
serikali imesalimu amri kwa "peoples power" na kurejesha fao la kujitoa kwenye mifuko ya jamii, sasa wewe Ritz huoni kuwa anayewachezea wenzake ni serikali, na wala si chadema.

ilikula njama za kuwadhulumu wanachama wa mifuko hiyo. ukilijua hili utaacha porojo za kivukoni na lumumba.

Jobi,
Mafao ya kujitoa sio kazi ya Chadema ni wananchi wenyewe ndio wamelalamika kwa Rais, bahati nzuri JK msikivu kawasikiliza Watanzania msitake kudandia hoja.
 
Last edited by a moderator:
Hivi mwakyembe alilishwa sumu na wana cdm?
Ni gazeti lipi linatumiwa na cdm kuishambulia serikali? Hapa umeshindwa kulitaja bila shaka huna ushahidi basi hayo ni majungu!

Hebu tupe ushahidi mdogo kuwa husisha cdm na migogoro ya walimu na madaktari!
Hapa ndio umepika majungu bila ushahidi!
Ninani asiye fahamu kuwa ccmweli ni wezi wa kura?

Matatizo anayo yapata jk kwenye uongozi wake yeye mwenyewe ndio mzizi!

Hivi kuhusu hilo gazeti mlilipiza kisasi? Bado linatoa nakala?

Je ni uongo gani umeandikwa humo? Tu dokeze japo kidogo, isije ukawa una piga kelele bure!

Yan umeandika mtiririko wa habari bila facts hata kidogo!

Mlizoea kuburuza watu bungeni sasa hivi mnachanganyikiwa!

Hivi umeshawai kujiuliza kuwa kwa nini mmepoteza hizo kata zilizo kuwa chini yenu? Hivi mmeongeza au mmepunguza?
Wanabodi.

Chadema mnatakiwa kujitathimi upya na harakati zenu za kisiasa toka mlipotoka mpaka mnapoelekea hivi sasa. Acheni kuichezea serikali.

Katika Uchaguzi Mkuu wa 2010, Chadema walianza kwa kupinga matokeo ya Rais yaliyompa ushindi Jakaya Kikwete, wakasusa kuhudhuria tukio la kutangaza matokeo pale viwanja vya Karimjee, Dar es Salaam. Wakasusa sherehe za kuapishwa kwa Rais, wabunge wao wakatoka nje ya Bunge wakati Rais Kikwete akizindua Bunge la Tanzania, kwa madai ya kutomtambua Rais.

Hawakuishia hapo, baada ya ndoto zao za kuingia Ikulu kusambaratishwa na Watanzania, viongozi wa Chadema wakaanza kuandaa maandamano katika mikoa mbalimbali wakafanya hivyo Arusha, Mwanza, Mbeya, Songea, na Katibu Mkuu Dr Slaa aliendelea kuwahamasisha wafusi wake waingie barabarani kwa madai kaibiwa kura na nchi haitatawalika tena. Baadae huyo huyo Dr Slaa akawaongoza wenzake kwenda Ikulu kupeleka malalamiko yao kwa Rais ambaye hawamtambui.

Chadema wakajiingiza kwenye migogoro ya migomo ya madaktari, walimu wakijifanya wanawasaidia, ziku hizi Chadema inawazushia Idara ya Usalama Taifa inazua kila jambo la hovyo. Walianza kulitumia gazeti moja kuishambulia Idara ya Usalama Taifa. Lakini mpya ni tamko lililotolewa mbele ya waandishi wa habari na Mwenyekiti wake Mbowe, ati wamegundua mpango kabambe wa Idara ya Usalama wa Taifa inataka kuwauwa viongozi wa Chadema. Wakadai wana ushahidi lakini hawako tayari kuupeleka polisi.

Madai kama hayo wanapoyatoa kupitia vyombo vya habari wanataka Watanzania tufanye nini! Tuwaonee huruma, tuione serikali kuwa ni dhalimu, au hao wanaowindwa wana nafasi gani kwa familia zetu? Propaganda za kitoto kabisa.

Serikali isitumie ule msemo wa kiingereza wa "Never urgue with a fool, people will never notice the difference" Hawa si "fools". Walishasema nchi haitatawalika.

Bahati nzuri Watanzania wametoa hukumu sahihi kwenye uchaguzi wa madiwani katika kata 29.

Copy to.. chama, Ngongo, Pasco, zomba, Mungi, na wanabodi wote.
 
Last edited by a moderator:
Ni mpuuzi tu atakayesifia CCM kuwa imeshinda kwa kishindo,Sitashangaa kusikia alikuwa anapata single digit katika mathematics!!!
 
Back
Top Bottom