Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,426
- 18,229
Jamaa moja alikuwa anapiga chabo dirishani wakati wenye ndoa wakiwa kwenye mahaba,mara huko nje ya nyumba mwenyewe baiskeli aliyekuwa anakatiza gafla tairi la baiskeli lake liliburst na kulia puuuuu!wanandoa humo ndani ya nyumba waliposikia mlio wa kubusrt tairi wakatulia kwanza *kufanya tendo,mpiga chabo dirishani akajisahau na kusema'''nye endeleeni ni pancha tu''
watu hoi kwa kicheko.
watu hoi kwa kicheko.