Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Morning wana CC!
Nimekutana na hii hapa
Haya hebu nidadavulieni wajameni haya mawowo 'ya uchokozi' ndo yakoje? Manake naona mi mgeni kwen hii tasnia....mara usikie 'hips za uchokozi' au 'kiuno cha uchokozi' au 'maziwa ya uchokozi" "sauti ya uchokozi" ndo yanakuwagaje?
Popote mlipo, mabinti watukuka wa chit chat hebu toeni ufafanuzi hapa huwa mnamaanisha nn?
Tuanze na beibe nasty mwenyewe, kisha charminglady. Wakeze Asprin kuna mwenye kitu cha uchokozi? BADILI TABIA, Yummy, cacico shemeji yangu unanichokoza na nini hadi hamu hainiishi? Kongosho, Madame B na madameX, Kaunga, Preta, sweetlady, gfsonwin, snowhite, hebu mu come zis way!
Halafu sijui kama pia wenzangu wana lionaje hili...kuna under age Erickb52 sijui kama alishachokozwa au ndo anakuzwa na Dena Amsi, Judgement, platozoom na Mphamvu itifaki ikiwa imezingatiwa.
Wakubwa zangu Roulette my sweet shemeji, King'asti (huko ndoani sijui anachokozaga na nini) Dark City, Kimey, fidel, Teamo, MwanajamiiOne, RR, Bigirita and co...
Hebu kina dada fungukeni, kitu gani hasa mnacho kinachomchokoza mpenzi wako au wakware wengine...of course baada ya kutupa uelewa wa neno uchokozi kwen tasnia ya viungo au sauti
Naomba kuwasilisha
Nimekutana na hii hapa
Heheehehehheeee ukomeee kutaka miwowo kwa bahat mbaya jg kawahi ila mi ninacho cha uchokoziii hehheee poleee
Haya hebu nidadavulieni wajameni haya mawowo 'ya uchokozi' ndo yakoje? Manake naona mi mgeni kwen hii tasnia....mara usikie 'hips za uchokozi' au 'kiuno cha uchokozi' au 'maziwa ya uchokozi" "sauti ya uchokozi" ndo yanakuwagaje?
Popote mlipo, mabinti watukuka wa chit chat hebu toeni ufafanuzi hapa huwa mnamaanisha nn?
Tuanze na beibe nasty mwenyewe, kisha charminglady. Wakeze Asprin kuna mwenye kitu cha uchokozi? BADILI TABIA, Yummy, cacico shemeji yangu unanichokoza na nini hadi hamu hainiishi? Kongosho, Madame B na madameX, Kaunga, Preta, sweetlady, gfsonwin, snowhite, hebu mu come zis way!
Halafu sijui kama pia wenzangu wana lionaje hili...kuna under age Erickb52 sijui kama alishachokozwa au ndo anakuzwa na Dena Amsi, Judgement, platozoom na Mphamvu itifaki ikiwa imezingatiwa.
Wakubwa zangu Roulette my sweet shemeji, King'asti (huko ndoani sijui anachokozaga na nini) Dark City, Kimey, fidel, Teamo, MwanajamiiOne, RR, Bigirita and co...
Hebu kina dada fungukeni, kitu gani hasa mnacho kinachomchokoza mpenzi wako au wakware wengine...of course baada ya kutupa uelewa wa neno uchokozi kwen tasnia ya viungo au sauti
Naomba kuwasilisha
Last edited by a moderator: