Abdallahkova
JF-Expert Member
- Apr 19, 2017
- 1,154
- 1,127
Sema mkaoge so akaoge .Tabia yakujiona bora kuliko wengine niyakijinga sana .Udenda na mijasho yote iliyotiririka usiku kucha halafu asubuhi aanze kunilalia? Mswaki hajapiga, harufu mbaya inatoka kinywani halafu aanze kunipumulia mm? Sitaki.
Akitaka akaoge, apige mswaki ndipo aombe show. Vinginevyo No! Sitaki karaha mm. Wanaosema mapenzi ni uchafu acha wao wavumilie, mm kwangu mapenzi ni usafi.