Zak Malang
JF-Expert Member
- Dec 30, 2008
- 5,404
- 234
Wakati anatangaza habari za uboreshaji wa reli ya Tazara katika kutimiza miaka 35 tangu reli hiyo ianze kazi, mtangazaji wa Ch 10 Mcharo Mrutu alimtaja Rais wa zamani wa Zambia -- Kenneth Kaunda kama ni hayati yaani marehemu, sambamba na Mwalimu Julius Nyerere.
Navyofahamu mimi Kaunda bado hajafa. Watangazaji wa Ch 10 lazima wawe makini.
Chanzo: Taarifa ya habari Ch 10 saa moja usiku huu.
Navyofahamu mimi Kaunda bado hajafa. Watangazaji wa Ch 10 lazima wawe makini.
Chanzo: Taarifa ya habari Ch 10 saa moja usiku huu.