CDM imenipa ubunge A.Mashariki-Makongoro Nyerere

Anakaribishwa sana kwenye chama cha kizalendo na chenye dhamira ya dhati kuboresha maisha hali ya maisha ya mtanzania wa chini, kuondoa rushwa na kuwafikisha mahakamani wabadhirifu
Mbunge mteule wa A.Mashariki Makongoro Nyerere amesema kura za wabunge wa CDM ndizo zilimfanya kushinda ubunge huo.Makongoro amesema wagombea wenzake kupitia CCM walitishia ushindi wake kutokana na jinsi walivyokuwa wanatembeza rushwa.
Makongoro amesema alikuwa hana hata nauli ya kwenda Dodoma lakini alimtegemea Mungu.Amesema CDM walipotaka kususia uchaguzi ule aliamini mwisho wake ulikuwa umefika kwani kura zote za wabunge wa CDM zilikwenda kwake.Amesema ni ngumu sana kugombea nafasi yoyote kupitia CCM kama huna hela za kugawa.Makongoro ameendelea kusema kwamba chuki ya rushwa waliyo nayo wabunge wa CDM ndiyo iliyomuokoa kwani anaamini ni vigumu wabunge wa CDM kuchagua mtoa rushwa.Amemalizia kwa kusema shukrani yake kwa CDM ni kwa yeye kuwatumikia wananchi wote bila ubaguzi wowote.

SOURCE:TANZANIA DAIMA
 
Haya huu ni upande wa pili kinyume na ze Baharia alivyotufahamisha.

Kama alitoa mlungula kwa wabunge wa upinzani, specifically CDM, basi ni sababu tosha kwa nini hawakumpa kura.

Otherwise kila la heri Makongoro
Namtaka rafiki yetu Willy aje hapa apangue hoja...
 
Makongoro angekosa vipi ubunge kama CHADEMA wasingelikuwepo?

Katika uchaguzi yeye kapata kura 123 na alikuwa mtu Wa tatu. Aliyemfuata kapata kura 78.

Hata kama CHADEMA wote walimpa yeye kura zao bado Makongori alikuwa na kura Kama 70 kutokea CCM na zingemtosha kabisa kushinda hata CHADEMA wasingepiga kura.
 
Kumbe Komu zile kura alizopata alipigiwa na wabunge wa CCM...wabunge wa Chadema walimpigia Makongoro, siasa bana.
 
Kumbe Komu zile kura alizopata alipigiwa na wabunge wa CCM...wabunge wa Chadema walimpigia Makongoro, siasa bana.

Ritz na wewe kwa kukurupuka!

Komu na Makongoro walikuwa makundi tofauti. Makongoro alikuwa kundi la wanaume CCM Tanzania Bara. Komu alikuwa kundi la wapinzani. Sasa hapo mkanganyiko uko wapi?

Kauli ya Makongoro inazidi kuonyesha kwamba ndani ya CCM kuna mpasuko, japo nyie wenyewe mnau-underestimate. Shauri yenu!
 
Kumbe Komu zile kura alizopata alipigiwa na wabunge wa CCM...wabunge wa Chadema walimpigia Makongoro, siasa bana.

Makongoro na Komu waligombea kupitia makundi mawili tofauti!
 
Makongoro angekosa vipi ubunge kama CHADEMA wasingelikuwepo?

Katika uchaguzi yeye kapata kura 123 na alikuwa mtu Wa tatu. Aliyemfuata kapata kura 78.

Hata kama CHADEMA wote walimpa yeye kura zao bado Makongori alikuwa na kura Kama 70 kutokea CCM na zingemtosha kabisa kushinda hata CHADEMA wasingepiga kura.
Mtanzania

Kama angepata kura 70, maana yake ni kwamba Bwana Mrisho Gambo ambaye alipata kura 78, ndiye ambaye angechukua nafasi ya tatu.

Mtanzania, chama chako kina mpasuko mkubwa sana na ninahisi kwamba unakuzwa na viongozi. Kauli hiyo ya Makongoro najua inaelekezwa kwa Lowassa kwamba hakutaka Makongoro ashinde. Hilo nililisema kwenye post moja kwenye mjadala wa uchaguzi wa EALA baada ya kura za maoni. Sambamba na Kauli hiyo, Nape alimpongeza Makongoro kwa kumwambia kwamba jamaa wametumia hela nyingi sana ili kuhakikisha Makongoro hashindi, lakini bado akashinda. Anawasubiri Mara. Hiyo ya kuwasubiri Mara sijui alikuwa anamaanisha nini, I guess labda ni kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara.

It is unfortunate kwamba hakuna viongozi wakubwa ambao wanaweza kusimama na kukemea kauli kama hizo, kwa hiyo mpaka 2015, lazima chama chako kiwe mapande mapande. Discipline kwenye chama na serikalini ni zero, maana kila mtu anafyatuka kivyake. Kauli kama hizi zina madhara makubwa kwa chama, maana wanachama ni rahisi kupoteza imani na uongozi au na chama.
 
Last edited by a moderator:
Mtanzania

Kama angepata kura 70, maana yake ni kwamba Bwana Mrisho Gambo ambaye alipata kura 78, ndiye ambaye angechukua nafasi ya tatu.

Mtanzania, chama chako kina mpasuko mkubwa sana na ninahisi kwamba unakuzwa na viongozi. Kauli hiyo ya Makongoro najua inaelekezwa kwa Lowassa kwamba hakutaka Makongoro ashinde. Hilo nililisema kwenye post moja kwenye mjadala wa uchaguzi wa EALA baada ya kura za maoni. Sambamba na Kauli hiyo, Nape alimpongeza Makongoro kwa kumwambia kwamba jamaa wametumia hela nyingi sana ili kuhakikisha Makongoro hashindi, lakini bado akashinda. Anawasubiri Mara. Hiyo ya kuwasubiri Mara sijui alikuwa anamaanisha nini, I guess labda ni kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara.

It is unfortunate kwamba hakuna viongozi wakubwa ambao wanaweza kusimama na kukemea kauli kama hizo, kwa hiyo mpaka 2015, lazima chama chako kiwe mapande mapande. Discipline kwenye chama na serikalini ni zero, maana kila mtu anafyatuka kivyake. Kauli kama hizi zina madhara makubwa kwa chama, maana wanachama ni rahisi kupoteza imani na uongozi au na chama.

Mkuu umemueleza nilichotaka kumwambia.Asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Keil,
Ili unachosema kitimie ni lazima huyo aliyeshika nafasi ya nne asipate kura hata moja toka Chadema kitu ambacho sidhani kina ukweli hata kidogo.

Nafikiri tatizo la Makongoto hapa ni kuendeleza ile vita yao ndani ya Ccm na kuwarushia vijembe wabaya wake. Lakini kwa kufanya hivyo anawapaka hata wana Ccm wengi ambao walimpa kura za kutosha kuchaguliwa,

Ukuwaondoa chadema kwenye equation unaondoa pia kura zao kwa wagombea wote. Kwenye Hilo kundi kila mbunge Wa chadema alikuwa anawapigia kura wana Ccm watatu. Ukitumia normal distribution utapata kwamba makongoro alishinda nyingi ya hizo kura lakini hata wagombea wengine pia walipata. Hivyo zikiondoka hata huyo aliyepata 78 habaki na 78.

Maximum number ya wabunge Wa chadema ni 47 Kama wote walikuwepo na wote walimpa Makongoro. Ina maana alikuwa na kura at least 76 bila kura za chadema. Kweli Mkuu unaamini hizo zisingemtosha kushinda?

Mengine yote uliyoandika nakubaliana nayo. Ni very unfortunate kwamba watu wanatumia muda mwingi kuendeleza migogoro wakati wao ni viongozi. Nilisoma kauli ya Nape nikashangaa na kusikitika. Ukiwa kiongozi ni lazima na muhimu kuyatendea haki makundi yote.
 
Mbunge mteule wa A.Mashariki Makongoro Nyerere amesema kura za wabunge wa CDM ndizo zilimfanya kushinda ubunge huo.Makongoro amesema wagombea wenzake kupitia CCM walitishia ushindi wake kutokana na jinsi walivyokuwa wanatembeza rushwa.
Makongoro amesema alikuwa hana hata nauli ya kwenda Dodoma lakini alimtegemea Mungu.Amesema CDM walipotaka kususia uchaguzi ule aliamini mwisho wake ulikuwa umefika kwani kura zote za wabunge wa CDM zilikwenda kwake.Amesema ni ngumu sana kugombea nafasi yoyote kupitia CCM kama huna hela za kugawa.Makongoro ameendelea kusema kwamba chuki ya rushwa waliyo nayo wabunge wa CDM ndiyo iliyomuokoa kwani anaamini ni vigumu wabunge wa CDM kuchagua mtoa rushwa.Amemalizia kwa kusema shukrani yake kwa CDM ni kwa yeye kuwatumikia wananchi wote bila ubaguzi wowote.

SOURCE:TANZANIA DAIMA Am glad ameliona hilo ila ukweli ni kwamba alisaidia CDM musoma 2010 kupita vituo vya kupigia kura kuhakikisha Mathayo hawabii CDM is one of Opposition from 1995 arusha
 
Mbunge mteule wa A.Mashariki Makongoro Nyerere amesema kura za wabunge wa CDM ndizo zilimfanya kushinda ubunge huo.Makongoro amesema wagombea wenzake kupitia CCM walitishia ushindi wake kutokana na jinsi walivyokuwa wanatembeza rushwa.
Makongoro amesema alikuwa hana hata nauli ya kwenda Dodoma lakini alimtegemea Mungu.Amesema CDM walipotaka kususia uchaguzi ule aliamini mwisho wake ulikuwa umefika kwani kura zote za wabunge wa CDM zilikwenda kwake.Amesema ni ngumu sana kugombea nafasi yoyote kupitia CCM kama huna hela za kugawa.Makongoro ameendelea kusema kwamba chuki ya rushwa waliyo nayo wabunge wa CDM ndiyo iliyomuokoa kwani anaamini ni vigumu wabunge wa CDM kuchagua mtoa rushwa.Amemalizia kwa kusema shukrani yake kwa CDM ni kwa yeye kuwatumikia wananchi wote bila ubaguzi wowote.

SOURCE:TANZANIA DAIMA

- Unafiki na uongo wa ajabu sana, Makongoro anajua wazi kwamba kuna Waziri na Mbunge mmoja, waliokuwa wanagawa rushwa on his behalf, wabunge 48 wa CDM hawawezi kumpa ubunge Makongoro.

- Ninajua kwenye siasa kuna propaganda, lakini sometimes muwe mnafikiri japo kidogo kabla ya kuandika maana si wote humu ni wajinga wajinga flani hivi! Lets say CDM walimpa kura zao zote mgombea wao Komu, then how come hakushinda?

- Wabunge 48 wa CDM wasingeweza kumpa Ubunge Makongoro!, kwenye hili kama kweli Makongoro ndiye aliyesema maneno haya basi ni the biggest joke of the century, kwa sababu anajua fika kwamba hata kule Dar kwenye kura za maoni hakushinda, ni vyema angenyamaza tu na kufurahia ushindi, lakini kwa hayo maneno hajitendei haki hata yeye mwenyewe binafsi, I mean hakuwa na nauli na hela za kunywa kila siku pale Dodoma zilitokea wapi?


Es!
 
- Unafiki na uongo wa ajabu sana, Makongoro anajua wazi kwamba kuna Waziri na Mbunge mmoja, waliokuwa wanagawa rushwa on his behalf, wabunge 48 wa CDM hawawezi kumpa ubunge Makongoro.

- Ninajua kwenye siasa kuna propaganda, lakini sometimes muwe mnafikiri japo kidogo kabla ya kuandika maana si wote humu ni wajinga wajinga flani hivi! Lets say CDM walimpa kura zao zote mgombea wao Komu, then how come hakushinda?

- Wabunge 48 wa CDM wasingeweza kumpa Ubunge Makongoro!, kwenye hili kama kweli Makongoro ndiye aliyesema maneno haya basi ni the biggest joke of the century, kwa sababu anajua fika kwamba hata kule Dar kwenye kura za maoni hakushinda, ni vyema angenyamaza tu na kufurahia ushindi, lakini kwa hayo maneno hajitendei haki hata yeye mwenyewe binafsi, I mean hakuwa na nauli na hela za kunywa kila siku pale Dodoma zilitokea wapi?


Es!
Waziri anashiriki kugawa rushwa, bwana mkubwa anaona ni upepo tu ambao utapita. Makubwa haya!
 
- Unafiki na uongo wa ajabu sana, Makongoro anajua wazi kwamba kuna Waziri na Mbunge mmoja, waliokuwa wanagawa rushwa on his behalf, wabunge 48 wa CDM hawawezi kumpa ubunge Makongoro.

- Ninajua kwenye siasa kuna propaganda, lakini sometimes muwe mnafikiri japo kidogo kabla ya kuandika maana si wote humu ni wajinga wajinga flani hivi! Lets say CDM walimpa kura zao zote mgombea wao Komu, then how come hakushinda?

- Wabunge 48 wa CDM wasingeweza kumpa Ubunge Makongoro!, kwenye hili kama kweli Makongoro ndiye aliyesema maneno haya basi ni the biggest joke of the century, kwa sababu anajua fika kwamba hata kule Dar kwenye kura za maoni hakushinda, ni vyema angenyamaza tu na kufurahia ushindi, lakini kwa hayo maneno hajitendei haki hata yeye mwenyewe binafsi, I mean hakuwa na nauli na hela za kunywa kila siku pale Dodoma zilitokea wapi?


Es!
Mkuu ES,
Binafsi namkubali sana Makongoro na nilifurahia kushinda kwake. Ila hii taarifa kama ni kweli kasema basi ni very unfortunate.

Mahesabu ya kura zake yanaonyesha tofauti na kauli yake. Hawatendei haki kabisa hao wana CCM waliompigia kura yeye.
 
Mkuu ES,
Binafsi namkubali sana Makongoro na nilifurahia kushinda kwake. Ila hii taarifa kama ni kweli kasema basi ni very unfortunate.

Mahesabu ya kura zake yanaonyesha tofauti na kauli yake. Hawatendei haki kabisa hao wana CCM waliompigia kura yeye.

- Mkuu hata mimi ninamkubali sana jamaa, lakini kwenye hili angenyamaza tu maana hakuna ukweli, mimi nasema baba yake amelitumikia hili taifa kwa uadilifu mkubwa sana ni huzuni kuona watu kama yeye wanahangaika na maisha kulinganisha na wengine kama yeye!,

- HOWEVER: wenye haki ya kusema maneno kama yake ni wale wabunge wawili wa Upinzani waliochaguliwa ili kuwakomoa CDM, wale kweli ndio waliopita bila tatizo, lakini not him na ninasikitika kuona gazeti makini kama TZD linaweza kujikita kwenye this kind of propaganda ambazo ni very unproductive kwa CDM ambayo ndio ilikuwa the goal ya hii article!

- Uchaguzi ulitawaliwa na Ukabila, Ukanda, na Rsuhwa: FULL STOP!, hakukuwa na anything else!, hakukuwa na uwezo, elimu, wala qualifications isipokuwa; UKABILA, UKANDA, NA RUSHWA!

- Muandishi wa hii articel hakuitendea haki CDM kabisa, ambao walidai kwamba watapitia CV za wagombea wote kabla ya kuamua nani anafaa kwa kujali CV, which is far from the truth, Tanzania bado tuna safari ndefu sana ya kufikia panapotakiwa!

Es!
 
Mtanzania

Kama angepata kura 70, maana yake ni kwamba Bwana Mrisho Gambo ambaye alipata kura 78, ndiye ambaye angechukua nafasi ya tatu.

Mtanzania, chama chako kina mpasuko mkubwa sana na ninahisi kwamba unakuzwa na viongozi. Kauli hiyo ya Makongoro najua inaelekezwa kwa Lowassa kwamba hakutaka Makongoro ashinde. Hilo nililisema kwenye post moja kwenye mjadala wa uchaguzi wa EALA baada ya kura za maoni. Sambamba na Kauli hiyo, Nape alimpongeza Makongoro kwa kumwambia kwamba jamaa wametumia hela nyingi sana ili kuhakikisha Makongoro hashindi, lakini bado akashinda. Anawasubiri Mara. Hiyo ya kuwasubiri Mara sijui alikuwa anamaanisha nini, I guess labda ni kwenye uchaguzi wa Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mara.

It is unfortunate kwamba hakuna viongozi wakubwa ambao wanaweza kusimama na kukemea kauli kama hizo, kwa hiyo mpaka 2015, lazima chama chako kiwe mapande mapande. Discipline kwenye chama na serikalini ni zero, maana kila mtu anafyatuka kivyake. Kauli kama hizi zina madhara makubwa kwa chama, maana wanachama ni rahisi kupoteza imani na uongozi au na chama.

- Keil ukweli ni kwamba haya yote ni mbali sana na ukweli wa yaliyotokea, hakuna aliyetumia hela nyingi kumzuia Makongoro, isipokuwa waliokuwa wanawauza yeye na mgombea mwingine toka mkoa wake waliona haitakuwa rahisi kuwapitisha wagombea wawili kutoka mkoa mmoja kwenye ile dhana ya ukabila, kwa hiyo wakaanza kuchafuana wenyewe wka wenyewe lakini eventually wakaungana na kuwa kitu kimoja wakiongozwa na Waziri mmoja aliyekuwa halali kuhakikisha Makongoro anapita, na the fact kwamba wote walikuwa na hela nyingi sana iliishia kuwafanya wawe one thing yaani Mkoa wa Mara.

- Lowassa kwenye huu uchaguzi hakuhusika kabisaa on anything, isipokuwa wapambe wake wachache tena labda wabunge wawili tu ndio waliokuwa wanahangaika kutafuta hela kwa kujaribu kutumia jina lake, lakini ukweli ni kwamba hakuhusika kabisaa kusema ukweli ni kua sawa na Mungu, Lowassa hakuhusika kabisaa!

- Wabunge wawili Januari na Zitto, na hata Mbowe waemesema uchaguzi ulikuwa wa Rushwa, sasa what else do we need kuamini au kutoamini, ndio ninapatwa na tatizo la nia na madhumuni ya TZD kujikita kwenye this kind of unproductive propaganda, tukubali ukweli tusongea mbele kwamba bado Taifa hili tuna safari ndefu sana tunakokwenda!, I mean wabunge wengi wa CDM walikuwa bize kuwanadi wagombea wa CCM kuliko wa kwao yaani Komu, why?

- TZD ingejikita kujibu maswali kama nini kifanyike ili CDM iwe na mbunge EALA, na kwa nini mgombea wa CDM hakupita wakati ni chama chenye nguvu sana mpaka kuweza kumnpitisha Makongoro, kama linavyosema lenyewe I mean sometimes hili taifa ninashindwa kuelewa tunachosimamia na tusichosiamamia!

Es!
 
Back
Top Bottom