Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Le baharia alitoa wapi yale maneno(*****) aliokuja kutoa humu jamvini!?
Humu humu jamvini.
Le baharia alitoa wapi yale maneno(*****) aliokuja kutoa humu jamvini!?
Haya huu ni upande wa pili kinyume na ze Baharia alivyotufahamisha.
Kama alitoa mlungula kwa wabunge wa upinzani, specifically CDM, basi ni sababu tosha kwa nini hawakumpa kura.
Otherwise kila la heri Makongoro
Mkuu hapa unamzungumzia Ze Kitingatinga, au sijaelewa vizuri:target:.. teh teh teh:smile:
Kama unakumbuka mwanzo wa lile neno kujivua gamba, basi hyu jamaa (Makongoro) aliwaambia live kabisa wale jamaa, yupo ccm lakini ni moja ya watu wachache huko, jamaa aliwaambia wewe, na yule ndo mnatuharibia chama, si muondoke, nazani ndo yeye alionyesha msimamo mkali ktk wenyeviti wa mkoa, anafaa pamoja na yake mapungufu.Huyu jamaa nimsemkubali na hababaishwi na chama chake so kipitup au kama vipi tunakukaribisha CDM
Ameshasema mkuu atawatumikia wote bila ubaguzi.
Lakini si wanaongoza kwa kulipa kodi kwanini asiwaunge mkono...hahahaha
Kama angekuwa mtu aliyetulia siku 1 angeingia pale alipokulia! Lakini sasa ndo hivyo tena maji kwa wingi. Sijui kwa nini inakuwa ngumu kutazamia kwa wengine akina BUSH JR, IAN KAMA N.K!
Baba yake aliishasema hadharani kuwa sera za CHADEMA anazikubali. Sasa kurudi CCM alimuenzi vipi baba yake? Labda ilikuwa njaa. Lakini mdogo wake Madaraka mbona ana-survive bila kuhangaika na magamba?Pamoja na upungufu au kasoro za Makongoro, still he's better lot than most ccm MPs in the House. Lakini pia tunatumai atafika mahali atapambanua mambo kwa usahihi na kung'oka ccm.
Kama tujuavyo yeye kuwa ccm imeoza na inakufa rasmi lakini ni nani wa kumshawishi Makongoro kama sio Makongoro mwenyewe juu ya ukweli huo?
Na kama haitoshi Makongoro anajua vema kuwa CHADEMA inasimamia na kutekeleza mambo ambayo baba yake mwenyewe would have been greatly proud of. Hivyo ni suala la muda tu ajiridhishe 100% kisha avue gamba.
Mnamtafuta NAPE wakati yupo Denmark tangu Jumatano anakula bata yeye na mbatia
NCCR walikuwa na vichwa vya ukweli, sema mzee wa Kiraracha hakujua namna ya ku-manage
Huyu jamaa hata ukimchanja damu yake ni Oposition pure! Sijui ni nini kilimpeleka CCM?
Huyu jamaa hata ukimchanja damu yake ni Oposition pure! Sijui ni nini kilimpeleka CCM?