Mr. Wise
JF-Expert Member
- Jul 23, 2012
- 7,718
- 6,441
Kuna siku I think baada ya raisi mama Samia kuapishwa, Mstaafu Mabeyo alisema kuna kitu aliambiwa na Magufuli atamfata ofsini amueleze.Gen Venance Mabeyo akiwa na viongozi waandamizi wa Ulinzi na Usalama
Nimesikiliza clip ya mahojiano ya Mstaafu CDF Gen Venance Mabeyo na mwandishi wa habari wa gazeti la serikali, Daily News.
Udhubutu wa kuyaweka mambo wazi ni kipaji na ujasiri ambapo nampongeza kwa dhati Gen Mabeyo kwa hilo.
Mambo mengi imekuwa utamaduni kuyafutika futika na hivyo ukweli kutojulikana.
Kwa dhamira njema kabisa, Gen Mabeyo amethibitisha kuliweka mbele Taifa kama kiapo chake kinavyomtaka, kulinda Katiba.
Huu ni ujasiri usio kawaida, maana kwa watu walafi wangeweka maslahi yao mbele kuliko matakwa ya Taifa na Katiba.
Tunaona umuhimu wa viongozi waadilifu, ambao siku hizi ni wachache.
Mungu akulinde Gen Mabeyo.
Iko ndio nilitamani sana kusikia nini?je kililihusu taifa ama?na je mzee Magufuli wakati anaaga na mengineyo akumwambia chochote cha kitaifa Mstaafu Mabeyo?
Ila Ki ukweli Hekima ilitumika sana, Hongera kwa Mama Samia, Mstaafu Mabeyo na wote. Maana nchi za wenzetu ungekuta kushachafuka, jinsi wasivyo wavumilivu