Isalia213
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 1,198
- 431
Hana lolote yeye ni kibaraka tu kwa ajili ya kuimaliza z'bar na sio kweli kama ccm z'bar imetoa tamko hilo seif iddi hana uwezo huo kichama kutoa kauli hiyo labda kauli hiyo engeitoa kiserekali halafu afahamu ile katiba ya nchi sio ya ccm kila mmoja ana mawazo yake kupewa mke kitope isiwe sababu ya kutupandia vichwani wazanzibar