KIGOMA KWETU
Member
- Apr 23, 2012
- 97
- 11
ndicho unacho ota wewe na Nape! Mwambie Nape atoe maagizo kwa Tendwa
....that is true hapa anayepashwa kushitakiwa ni babu slaa wala sio polisi kwani walikuwa wanatimiza kazi waliyosomea, kama walikatazwa kuandamana kwa nini waliandamana? hii ni hatari kwa nini tusiangalie kenya ilivyokuwa kipindi kile waliokuwa wanapigana na kuuana walikuwa ni vyama pinzani tu,tendwa futa hiki chama cha wauaji