Jagarld
JF-Expert Member
- Apr 7, 2011
- 2,515
- 3,042
Kauli kama hii ni dhahili ombwe la uongozi linatumaliza, Nape haya uliyosema ni kutoka moyoni mwako kabsa na wala hujatumia kilevi? Kiongozi makini anajua kuchagua na kupangilia maneno husika ya kuongea kwa wakati na mazingira husika, kauli za kilevi zinazotoka zinakuja kwetu wananchi wa kawaida kutaka kutughiriba wananchi,
Lakini kaeni mkijua chuki mnayoipandikiza kwa wananchi kwa sababu mnazozijua wenyewe inaua taratibu kama kansa msiposhtuka leo,kesho mtakua mmechelewa
Lakini kaeni mkijua chuki mnayoipandikiza kwa wananchi kwa sababu mnazozijua wenyewe inaua taratibu kama kansa msiposhtuka leo,kesho mtakua mmechelewa