zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
CCM mlisitisha mikutano yenu?Unafikiri kufuta chama ni kama unavyofikiri?Uliza uelimishwe.
Unaonaje ukianza kumuelimisha Tendwa aliyetoa hilo tamko?
CCM mlisitisha mikutano yenu?Unafikiri kufuta chama ni kama unavyofikiri?Uliza uelimishwe.
Na Singida mbona umesahau?Wewe na Nape lenu moja lazima umuunge mkono boss wako!!!!Mliuwa Songea kimyaaa, mkauwa Usa, Arusha CCM kimyaa, mliuwa Igunga kimyaaa, Morogoro mmeuwa kimyaaa,sijui ni mara ngapi mtaendelea kuwauwa Watanzaia???? Ila kila jambo ukae ukijua lina mwisho wake, na nyinyi mtabaki historia kama KANU Kenya!!!!!
Unajua unachekesha sana ndg ha ha haaa, hivi mumeo akinya kitandani na wewe utakunya? na je kitanda hicho kitalalika kweli? je mwenzie akivunja sheria bila kusababisha madhara, akafanikiwa na wewe ukavunja sheria kwa kufuata mkumbo ukasababisha madhara na ukanaswa. je utasema uko halali,? kumbuka Ignornce of the law is not a difence. mumelikoroga na mutalinywa tu, no way.
Slaa anatakiwa apandishwe mahakamani kwa kuchochea vurugu na kumtisha IGP
Hata Mbuyu ulianza kama mchicha. Hofu ya CCM ni kukubalika kwa CDM na uwezo walionao viongozi wake, kwani wao wanakubalika sasa CCM waliona kuwa endapo M4C itafanikiwa basi lile neno nilisikia mmoja wa viongozi akitamka kuwa "CCM itatawala jana, leo na milele" Halitatimia na for sure halitatimia bse people are no longer ignorant as you think Bwana Mdogo Nnauye, acha utoto. I think CCM should get a better person than you do bse where you are heading is dangerous.
Nape ni mweupe kichwani. Na sitegemei press release ya maana toka kwake!!! Siku zote alikuwa wapi hajatoa press? Alikuwa anajipanga au ni baada ya kuona kila mtanzania amekemea jambo hilo? Viongozi wa dini nao wamesimama kidete!!! Subirini!!!