Msihadaike na CCM Hawana wingi WOWOTE ivo ni Vikosi vya polisi na magereza pamoja na wafanya kazi wa serekali ambao walilazimishwa kutokana na MADARAKA .... Hakuna mtu anapenda CCM kiukweli Isipokua Anachuki na Ubaguzi na SIASA ZA uchochezi.....SISI tunawajua CCM zanzibar kua hawana watu bali kulazimisha VIKOSI vya serekali vihudhurie Pamoja na kupeleka gari Mashamba kuchukua watu kwa ajili ya mkutano...NDIO kunasemwa ccm zanzibar Hawawezi kupata watu ILA kwa wasio muogopa MUNGU...Nakuhakikishia CCM hawana DINI sio UISLAM SIO UKRISTO...HAWAMUOGOPI MUNGU KWA UCHU WA MADARAKA .....WAKO TAYARI WATU WAFE ILA WAO WAONGOZE NCHI
Hama Tanzania sababu hakuna Dini katika Tanzania bali watanzania ndio wenye dini na UKAWA wamekubali hilo