MwanaDiwani
JF-Expert Member
- Mar 22, 2013
- 5,536
- 2,264
Sehemu ya hotuba ya Nape Nnauye kwenye mkutano wa hadhara Kibanda Maiti, Mjini Unguja, Zanzibar.
[video=youtube_share;uGBa5ABntsY]http://youtu.be/uGBa5ABntsY[/video]
Sehemu ya Wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Unguja.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini,Ndg. Boraafya Silima wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Demokrasia uliopo eneo la Kibanda Maiti,Mjini Unguja Zanzibar.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia uliopo eneo la Kibanda Maiti, Mjini Unguja Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwasalimia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi.
Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Aman Karume, Mama Fatma Karume akiongea kwa msisitizo mkubwa huku akiwataka Wazanzibar kuacha kabisa kuuchezea Muungano kwa kuwafata watu wanaoupotosha na baada ya hotuba, alipongezwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Katibu wa NEC, Oganaizeshe CCM, Dkt. Mohamed Seif Khatibu akiwahutubia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia uliopo eneo la Kibanda Maiti, Mjini Unguja Zanzibar.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwaeleza wananchi wa Unguja kuhusu umoja ulioanzishwa wa baadhi ya vyama siasa na malengo ya umoja huo.
Mh. Stephen Wassira akiwasalimia wananchi na kusema maneno mawili kuhusu msimamo wa CCM katika ujenzi wa taifa endelevu.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini,Ndg. Boraafya Silima akiwasabahi wananchi wa Unguja.
Mbunge wa Jimbo la Sikonge, Mh. Said Mkumba nae hakubaki nyuma kuzungumza na wananchi wa Unguja.
Mbunge wa Jimbo la Mtera, Mh. Livingstone Lusinde a.k.a Kibajaji akizungumza kwa kusisitiza kuhusu baadhi ya wanasiasa wanaowatukana waasisi wa Muungano wa Tanzania.
Makamu Mwenyekiti UWT, Bi. Asha Bakari Makame akiwahutubia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Mapinduzi.
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mh. Ummy Mwalimu akiwahutubiwa wananchi wa Zanzibar na kuwauliza wanataka serikali ngapi huku akinyosha vidole kuonyesha serikali mbili ambapo pia amewataka Wazanzibari kutohadaishwa na UKAWA kuhusu swala la muundo wa Serikali katika mchakato wa Katiba.
Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Mh. Emmanuel Nchimbi akinukuu sehemu ya maandishi yaliopo kwenye kitabu cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.
[video=youtube_share;uGBa5ABntsY]http://youtu.be/uGBa5ABntsY[/video]
Sehemu ya Wananchi waliofurika kwenye uwanja wa Demokrasia, Kibanda Maiti, Unguja.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiteta jambo na Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini,Ndg. Boraafya Silima wakati wa Mkutano wa hadhara uliofanyika jioni ya leo kwenye Uwanja wa Demokrasia uliopo eneo la Kibanda Maiti,Mjini Unguja Zanzibar.
Katibu Mkuu wa CCM,Ndg. Abdulrahman Kinana akiwahutubia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia uliopo eneo la Kibanda Maiti, Mjini Unguja Zanzibar.
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd akiwasalimia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi.
Mke wa Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Hayati Aman Karume, Mama Fatma Karume akiongea kwa msisitizo mkubwa huku akiwataka Wazanzibar kuacha kabisa kuuchezea Muungano kwa kuwafata watu wanaoupotosha na baada ya hotuba, alipongezwa na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana.
Katibu wa NEC, Oganaizeshe CCM, Dkt. Mohamed Seif Khatibu akiwahutubia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa hadhara wa Chama cha Mapinduzi (CCM) uliofanyika kwenye Uwanja wa Demokrasia uliopo eneo la Kibanda Maiti, Mjini Unguja Zanzibar.
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwaeleza wananchi wa Unguja kuhusu umoja ulioanzishwa wa baadhi ya vyama siasa na malengo ya umoja huo.
Mh. Stephen Wassira akiwasalimia wananchi na kusema maneno mawili kuhusu msimamo wa CCM katika ujenzi wa taifa endelevu.
Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Mjini,Ndg. Boraafya Silima akiwasabahi wananchi wa Unguja.
Mbunge wa Jimbo la Sikonge, Mh. Said Mkumba nae hakubaki nyuma kuzungumza na wananchi wa Unguja.
Mbunge wa Jimbo la Mtera, Mh. Livingstone Lusinde a.k.a Kibajaji akizungumza kwa kusisitiza kuhusu baadhi ya wanasiasa wanaowatukana waasisi wa Muungano wa Tanzania.
Makamu Mwenyekiti UWT, Bi. Asha Bakari Makame akiwahutubia wananchi wa Unguja waliofurika kwa wingi kwenye Mkutano wa Hadhara wa Chama cha Mapinduzi.
Mbunge wa Viti Maalum CCM, Mh. Ummy Mwalimu akiwahutubiwa wananchi wa Zanzibar na kuwauliza wanataka serikali ngapi huku akinyosha vidole kuonyesha serikali mbili ambapo pia amewataka Wazanzibari kutohadaishwa na UKAWA kuhusu swala la muundo wa Serikali katika mchakato wa Katiba.
Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Mh. Emmanuel Nchimbi akinukuu sehemu ya maandishi yaliopo kwenye kitabu cha Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad.