CCM yapuuza tamko la Shibuda

Candid Scope

JF-Expert Member
Nov 8, 2010
11,890
6,898
Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempuuza Mbunge wa Maswa Magharibi (Chadema), John Shibuda, kufuatia kauli yake ya kudai kuwa atagombea urais kupitia Chadema katika uchaguzi mkuu wa 2015 na kwamba meneja kampeni wake atakuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa Rais Jakaya Kikwete.

Katibu Mkuu wa CCM Taifa, Wilson Mukama, akizungumza katika mahojiano na NIPASHE Jumamosi jana iliyotaka kujua chama hicho kimepokeaje kauli ya mbunge huyo wa chama cha upinzania kutaka meneja kampeni wake awe Mwenyekiti wa CCM Taifa, alisema Shibuda alikuwa anafanya utani wakati wa kutoa tamko hilo "Shibuda alikuwa anafanya utani tu kwa hiyo CCM hatulichukulii kama ni jambo ambalo ni la 'serious'," alisema Mukama kwa kifupi na kukata simu.



Kwa habari zaidi soma: CCM yampuuza Mbunge Shibuda
 
Wasiwafumbe macho cdm kwa kauli tamu kama hizo,yeye si kakiri alikuwa kikazi zaidi na kashajua siri nyingi,c.c.m+shibuda wote wanafiki
 
Taasisi yakutathmini utawala bora ilipokutana na CCM, Shibuda kama mwanachama wa hiyotaasisi, baada ya mazungumzo rasmi, alitaniana na Kikwete na akamwambia anatakakuwa mgombea binafsi na yeye Kikwete amuunge mkono.

Na ni kutokana na utani huondio maana kikwete kazungumzia mgombea binafsi. Watu wote waliopo karibuwanasema Shibuda hajazungumzia kugombea urais kupitia CHADEMA.

Lakini kauli ya Shibuda imepindishwa kuwavuruga wapinzani. Na BAVICHA kwa kukosa umakiniimeanza kupiga kelele kutokana na kile ilichosoma katika magazeti kama vilemagazeti yetu siku zote yanaandika ukweli.

Sitegemei Shibuda kulifafanua hilikwasababu na yeye kama binadamu wengine ana-pride yake, kwanini BAVICHA HAWAJAWEZAHATA KUMPIGIA SIMU. Huu ni mfano wazi wa kukosa umakini. Na inawezekana huyo Heche ambaye CHADEMA wasiokuwa na upeo wanamsifia ni usalama wa taifa, kwanini kitu kilichozungumzwa katika maudhui ya utani akakipaisha juu kila mtu ajuwe, kwanini viongozi wa kitaifa wa CHADEMA hawajamdhibiti huyo Heche, hivi wanafikiri anasaidia chama au masilahi yao binafsi. Kuna uwalakini katika hili la kumuachiaHeche (BAVICHA) amuandame Shibuda kwa kauli ambayo haijathibitishwa, na ulakinihuo utafanya watu wakae upande wa Shibuda. Ni mpango uliokosa umakini hata kamailikuwa nia ya Mbowe kumuangamiza Shibuda kisiasa.

Why BAVICHA (CHADEMA) IS SO EASY TO BE MANIPULATED BY MEDIA AU CCM?

Ingawa Shibuda hakuzungumzia kugombeakupitia CHADEMA bali kupitia mgombea binafsi anayo haki ya kuhoji kuna ubayagani yeye kutangaza nia ya kugombea.

Hiki ni kitu kidogo lakini kimekuzwa kwakukosa umakini, kwasababu mtu akitangaza nia sio maana yake jina lakelitapitishwa na CHADEMA, lakini ukweli unabaki Shibuda alizungumzia mgombeabinafsi na sio kugombea kupitia CHADEMA, haya mengine yote yametengenezwa navyombo vya habari pamoja na BAVICHA kama sio CCM.
 
Taasisi yakutathmini utawala bora ilipokutana na CCM, Shibuda kama mwanachama wa hiyotaasisi, baada ya mazungumzo rasmi, alitaniana na Kikwete na akamwambia anatakakuwa mgombea binafsi na yeye Kikwete amuunge mkono.

Na ni kutokana na utani huondio maana kikwete kazungumzia mgombea binafsi. Watu wote waliopo karibuwanasema Shibuda hajazungumzia kugombea urais kupitia CHADEMA.

Lakini kauli ya Shibuda imepindishwa kuwavuruga wapinzani. Na BAVICHA kwa kukosa umakiniimeanza kupiga kelele kutokana na kile ilichosoma katika magazeti kama vilemagazeti yetu siku zote yanaandika ukweli.

Sitegemei Shibuda kulifafanua hilikwasababu na yeye kama binadamu wengine ana-pride yake, kwanini BAVICHA HAWAJAWEZAHATA KUMPIGIA SIMU. Huu ni mfano wazi wa kukosa umakini. Na inawezekana huyo Heche ambaye CHADEMA wasiokuwa na upeo wanamsifia ni usalama wa taifa, kwanini kitu kilichozungumzwa katika maudhui ya utani akakipaisha juu kila mtu ajuwe, kwanini viongozi wa kitaifa wa CHADEMA hawajamdhibiti huyo Heche, hivi wanafikiri anasaidia chama au masilahi yao binafsi. Kuna uwalakini katika hili la kumuachiaHeche (BAVICHA) amuandame Shibuda kwa kauli ambayo haijathibitishwa, na ulakinihuo utafanya watu wakae upande wa Shibuda. Ni mpango uliokosa umakini hata kamailikuwa nia ya Mbowe kumuangamiza Shibuda kisiasa.

Why BAVICHA (CHADEMA) IS SO EASY TO BE MANIPULATED BY MEDIA AU CCM?

Ingawa Shibuda hakuzungumzia kugombeakupitia CHADEMA bali kupitia mgombea binafsi anayo haki ya kuhoji kuna ubayagani yeye kutangaza nia ya kugombea.

Hiki ni kitu kidogo lakini kimekuzwa kwakukosa umakini, kwasababu mtu akitangaza nia sio maana yake jina lakelitapitishwa na CHADEMA, lakini ukweli unabaki Shibuda alizungumzia mgombeabinafsi na sio kugombea kupitia CHADEMA, haya mengine yote yametengenezwa navyombo vya habari pamoja na BAVICHA kama sio CCM.

.
Kwani wewe ndie Shibuda? Mbona Shibuda mwenyewe hajasema kuwa ni ilikuwa utani? Ila kasisitiza anamaanisha kile kilichosemwa juu yake. Hivi kuwa mwanasiasa ni kuazima utashi?
.
 
Ukiangalia mazingira yaliyokuwepo hayakuwa ya kutangaza ajenda hiyo, ni kiherehere cha wanahabari kukuja jambo ambalo halikuwa hivyo. Ni utani wa kisiasa na tuuelewe hivyo. Wenye busara hasa viongozi wa juu wa Chadema unaona walivyotulia kama hakujatokea kitu. Bavicha wajifunze kupima matamko si kuyarukia tu bila kuomba ushauri wa kuyatolea matamkshi.

Shibuda ni vuvuzela babu kubwa kuliko hata Nape. Ukimwelewe alivyo si wa kuumiza kichwa, mwache tu na muda si mrefu utamtolea nje bila ridhaa yake.
 
Shibuda alikuwa serious na hakuwa hatanii kwa hiyo kauli zake sio za kubeza hata kidogo may be alikuwa amevuta bangi ndio akaita waandishi wa habari kwa jinsi nilivyomuona anaongea na waandishi
 
Mnasema shibuda anatania, kwani sisi wooote tz ni wagogo kutoka kijiji cha nkundumoto!! mfungulieni awe huru kujiunga na futuhi.
 
Shibunda na Ukigeugeu wake anajishushia hadhi na atakuwa hana hata status ya kuwa Rais; CCM inampinga amegombana na CHADEMA sasa ni Chama gani kitamchukua na Wananchi wanamuona kigeugeu kama alivyokuwa Mrema hawatampa kura za Uraisi

Uzuri ni anajivunjia heshima mwenyewe haitaji watu kumsulubu
 
Taasisi yakutathmini utawala bora ilipokutana na CCM, Shibuda kama mwanachama wa hiyotaasisi, baada ya mazungumzo rasmi, alitaniana na Kikwete na akamwambia anatakakuwa mgombea binafsi na yeye kikwete amuunge mkono. Na ni kutokana na utani huondio maana kikwete kazungumzia mgombea binafsi. Watu wote waliopo karibuwanasema Shibuda hajazungumzia kugombea urais kupitia CHADEMA. Lakini kauli yaShibuda imepindishwa kuwavuruga wapinzani. Na BAVICHA kwa kukosa umakiniimeanza kupiga kelele kutokana na kile ilichosoma katika magazeti kama vilemagazeti yetu siku zote yanaandika ukweli. Sitegemei Shibuda kulifafanua hilikwasababu na yeye kama binadamu wengine ana-pride yake, kwanini BAVICHAHAWAJAWEZA HATA KUMPIGIA SIMU. Huu ni mfano wazi wa kukosa umakini. Nainawezekana huyo Heche ambaye CHADEMA wasiokuwa na upeo wanamsifia ni usalamawa taifa, kwanini kitu kilichozungumzwa katika maudhuwi ya utani akakipaishajuu kila mtu ajuwe, kwanini viongozi wa kitaifa wa CHADEMA hawajamdhibiti huyoHeche, hivi wanafikiri anasaidia chama au masilahi yao binafsi. Kuna ulakinikatika hili la kumuachia Heche (BAVICHA) amuandame Shibuda kwa kauli ambayohaijathibitishwa, na ulakini huo utafanya watu wakae upande wa Shibuda. Nimpango uliokosa umakini hata kama ilikuwa nia ya Mbowe kumuangamiza Shibudakisiasa. Why BAVICHA(CHADEMA) IS SO EASY TO BE MANIPULATED BY MEDIA AU CCM?Ingawa Shibuda hakuzungumzia kugombea kupitia CHADEMA bali kupitia mgombeabinafsi anayo haki ya kuhoji kuna ubaya gani yeye kutangaza nia ya kugombea. Hikini kitu kidogo lakini kimekuzwa kwa kukosa umakini, kwasababu mtu akitangazania sio maana yake jina lake litapitishwa na CHADEMA, lakini ukweli unabakiShibuda alizungumzia mgombea binafsi na sio kugombea kupitia CHADEMA, hayamengine yote .yametengenezwa na vyombo vya habari pamoja na BAVICHA kama sioCCM. Swala jingine la kujiuliza ni kwanini hao BAVICHA hawakupiga kelele paleNasari alipokosea na kusema kaskazini wajitenge au hiyo ndio sera ya CHADEMA,kauli ya Nasari ina hatari kwa CHADEMA kuliko kauli ya Shibuda kugombea uraiskupitia CHADEMA kama kweli Shibuda kasema. Upendeleo huu wa CHADEMA ndio utakaowafanya wasukuma na watu wakabila nyingine(WASIOTOKA KASKAZINI) wajione hawananafasi ndani ya CHADEMA. Ndio lazima msukuma awe makini na tabia hii ya upendeleo,haswa ukizingatia wanachekwa na wachaga kwa kuchagua wachaga mwanza. Wenzenu wakichagua upinzani wanachagua watu wa kabila zao nyie mnachagua wachaga na wakurya,mtaamka lini haswa ukizingatia wachaga wanawazarau. Wanataka huyo Shibuda wenu akiamrishwana wachaga awe kazi yake kusema ndio bwana mkubwa. Asilimia 15% ya idadi yawatu Tanzania ni wasukuma, hata kama idadi hii haitoshi kushinda urais sioidadi ya kupuuzwa na kukubali zarau, ulaghai na uongo wa wachaga wanaokujaJamii Forum kwa majina ya uongo kama Wambura, Masanja na Kadhalika.
 
Hata hueleweki! Heading haiendani na content ya habari yako. Zaidi ya hivyo, habari yako imejaa unaa na ukabila mpaka mwisho. Nadhani wewe ni mwajiriwa mpya wa Nape!
 
Hoja yako imekosa mashiko kabisa. Heading inatuaminisha shibuda kiboko ya jk. Content wasukuma wawachukie wachaga. Aibu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom