Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,959
- 95,282
Ameeeeeen AmeeeeeenNitashangaa kama sitasikia uongozi wa Halmashauri (Jiji) la Arusha kuchukua hatua za kisheria na kudai fidia kwa makusanyo yote yaliyochukuliwa kimabavu na chama tawala.
MAtukio kama haya ndiyo yaliyoturudisha nyuma miaka hamsini. Halafu hawa hawa wakiambiwa ukweli eti wanawaita wapinzani makanjanja, sasa kanjanja original hapa ni nani?
Jiji la Arusha liongoze majiji mengine kusafisha uchafu na ubabe huu ulioenea nchi nzima.
Nawasifu walioandaa hii ripoti Mungu awabariki.