Kuelekea Afcon 2027: Arusha ipo haja ya kuwa na timu ligi kuu.

Stroke

JF-Expert Member
Feb 17, 2012
34,790
41,164
Wakati serikali ikiendelea na ujenzi wa uwanja wa mpira jijini Arusha kwa ajili ya Afcon 2027,

Sio vibaya Arusha iwe na timu ligi kuu kwa lengo la kuufanya mji uwe busy na pilika za kimichezo.

Hata kama mpaka kufikia muda huo hili litashindikana basi TFF waangalie namna ya kupanga mechi nyingi za ligi Arusha.

Naamini kama wale wasudan watakuja kucheza ligi yetu basi makazi yao yawe huko kwa muda, kuliandaa jiji kwa pilika za kimichezo.
 
Wasudani watakuwq dar es salaam kwasababu wao watakuwq hawasafiri, so timu yeyote itakayokuwa inacheza na simba, yanga na azam basi atakutana na al ahly ya sudani
 
Wasudani watakuwq dar es salaam kwasababu wao watakuwq hawasafiri, so timu yeyote itakayokuwa inacheza na simba, yanga na azam basi atakutana na al ahly ya sudani
Kwanini hawa tusiwapeleke huko Arusha.
 
Nimetoka Chugastan miaka ishirini iliyopita nikimuacha Ally Mtumwa mwanaharakati mkuu wa mpira jijini hapo nasikia mpaka leo ndiye pekee aliye baki mpaka leo kusaidia mpira huko.
Mrisho Gambo akiwa mkuu wa Mkoa na sasa mbunge anahusika sana na udororo huo ,abishe tuje na facts and figures 😡
 
Nimetoka Chugastan miaka ishirini iliyopita nikimuacha Ally Mtumwa mwanaharakati mkuu wa mpira jijini hapo nasikia mpaka leo ndiye pekee aliye baki mpaka leo kusaidia mpira huko.
Mrisho Gambo akiwa mkuu wa Mkoa na sasa mbunge anahusika sana na udororo huo ,abishe tuje na facts and figures 😡
Mashindano ya Rolling stone ambayo iliwatoa watu kama kina nyoni yalikua mazuri.
 
Hakuna uwanja wa kuhimili mashabiki wa simba na yanga hapo chugq, labda hiko kipya kikikamilika, huo wa karume ni wa timu kama.mashujaa
Kuna tofauti gani ya karume na uwanja wa Azam kwa capacity ya fans?

Mbona pale match zinachezwa kama kawaida.

Simba na Yanga zenyewe zilikua zinatumia huo uwanja kwa match zao.
 
Kuna tofauti gani ya karume na uwanja wa Azam kwa capacity ya fans?

Mbona pale match zinachezwa kama kawaida.

Simba na Yanga zenyewe zilikua zinatumia huo uwanja kwa match zao.
Uwanja wa arusha ni mkubwa kuliko wa azam wazo zuri kupeleka wasudani arusha lakini halmashauri imeahatangaza msimu huu kununua timu ya ligi kuu kuweka makazi arusha so soon ligi itachezwa arusha mji mkubwa kama ule unastahili pilika pilika za kila siku good news pamba ya mwanza nayo imepanda ligi kuu so kwa majiji makubwa mwanza tayari wanayo bado arusha tu sasa
 
Uwanja wa arusha ni mkubwa kuliko wa azam wazo zuri kupeleka wasudani arusha lakini halmashauri imeahatangaza msimu huu kununua timu ya ligi kuu kuweka makazi arusha so soon ligi itachezwa arusha mji mkubwa kama ule unastahili pilika pilika za kila siku good news pamba ya mwanza nayo imepanda ligi kuu so kwa majiji makubwa mwanza tayari wanayo bado arusha tu sasa
Hiyo ni move nzuri kwa halmashauri , itachangamsha mji kuelekea Afcon.
 
Back
Top Bottom