Asango
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 234
- 24
hatimaye jana mwenyekiti mpya wa ccm mkoa wa kilimanjaro alipatikana.mwenyekiti huyo mpya anaitwa IDDI JUMA aliyekuwa akichuana vikali na mbunge wa zamani wa TLP na baadaye kutimkia ccm na kuwa mwenyekiti wa wazazi mkoa, MH. NGAWAIYA ameshindwa katika uchaguzi huo.Ngawiya alianza kuukimbia ukumbi hata kabla ya kutangazwa kwa matokeo.hongera sana IDDI JUMA kwa ushindi huo karibu kwenye majukumu.ushauri wangu kwa ngawiya aache kutangatanga kwenye siasa