Jumapili iliopita Husen bashe alifanya mkutano mkubwa NZega katika uwanja wa Park, mkutano huo kwa akili ya kawaida tu haiwezekani ukawa umeandaliwa na bashe mwenyewe je ni nani yupo nyuma ya bashe maana mkutano ulikuwa mkubwa muno
Katumwa na RA. Don la mafisadi.
Hamna cha shaka au aibu. Katumwa na RA, the Don of Mafisadi.Hakuna Mbunge wa maisha, miaka 5 ikiisha kila mtu anayetimiza masharti ana haki ya kugombea Ubunge. Hivyo ni kukosa hekima kuona kila anayetaka kugombea katumwa, kwani hao Wabunge nao walitumwa na nani?. Zaidi inatia shaka na aibu ukifikia sema eti katumwa na RA.
hamna cha shaka au aibu. Katumwa na ra, the don of mafisadi.
Nianze kwa kupokea lugha isiyo ya kistaraabu kwa ndugu yangu aliyeniambia kuwa naanza na post moja kwa majungu, labda hatukuelewana. binafsi nilikuwepo eneo la mkutano ninachouliza kwa jinsi mkutano ulivyokuwa mkubwa na watu walivyokuwa wametulia wakimsikiliza kijana bashe akielezea maneno matamu kwa watu wa nzega,na tumezoea kuona watu wakiwa wanataka madaraka hutumia lugha ambali mbnali kama vile nimetumwa na Mzee wa ikulu kugombea , nimeitwa na wazee kugombea nk, swali kwa watu wa Nzega ni kuwa bashe katumwa na nani maana hata mi binafsi nilikuwepo eneo husika kama nilivyosema na nilivutiwa sana na ujasiri wa bashe wa kumiliki jukwaa npia kwa uchambuzi wa mambo mbali mbali kitu ambacho mbunge wetu wa jimbo amekuwa akikwepa mikutano ya hadhara na mara kadhaa amekuwa akidandia kazi zifanywazo na serikali na kusema kuwa amezifanya yeye. inawezekana nyuma ya bashe yupo mungu maana watu wa nzega tumetaabika vya kutosha , umeme wa Ndalla unasua sua kwa Mbunge wa jimbo kufanya kazi za kitaifa zaidi nyingine hazitusaidii sisi wa mwaka shahara. HONGERA SANA BASHE NYUMA YAKO YUPO MUNGU!