Uongozi wa chadema mbeya umesambaratika,kutokana na mambo mbalimbali ya kijamii na kiuchumi yanayojitokeza kila kukicha.viongozi hao wameiona chadema kuwa ni chama kisicho na mwelekeo zaidi ya kuhamasisha vurugu na maandamano yasiyo na tija.[Unajiita hoja tete!!!??ni kwli wewe ni tete cause hata hujitambui,wewe ni mmoja wao tunajua hilo]