CCM wazidi kutimkia chadema Mbeya

njooni nyote mnaosumbuka na kuelemewa na mizigo ya ccm nami nitawapumzisha cdm, peopleeeeeeeeeeeeees!
itikia tafadhali!
 
Mchumi wa CCM wilaya ya Mbozi Bi Happiness Kwilabya ajiunga na CHADEMA, akifuatana na wanachama 18 Bi Happiness akikaribishwa jukwaani na viongozi wa chadema

Apr26_64.JPG


Kwa takribani mwezi mmoja hivi sasa CCM imepoteza zaidi ya wenyeviti wa mitaa wapatao watano, ambao wameamia CHADEMA na mwingine aliposimamishwa kugombea wadhifa huo aliibuka na ushindi wa kishindo katika Mtaa wa Nonde Bwana Ezekiel King, ambaye pia alishawahi kuwa golikipa wa Tukuyu Stars na Mapinduzi Stars ya Mbeya, mtaa anaoishi Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Bwana Athanas Kapunga.

Karibu saana Bi Happiness CDM na wengine waliofunga macho nao waone ukweli wajiunge na chama cha ukombozi wa Mtanzania!!! Wewe ni jasiri kwa hiyo njoo na utaalamu wako wa uchumi kumkomboa nyonge wa Tanzania wakati ukifika CDM ikiwa kwenye madaraka!!!!! VIVA CDM VIVA UKOMBOZI WA MTANZANIA!!!!!

 
karibu sana CHADEMA mama huku hakuna matata jisikie upo nyumbani na tuendeleze mapambano mpaka kieleweke
 
wasije wakawa wamefukuzwa na magamba then wanakimbilia chadema kama sehemun ya kujificha
 
Ni watu muhimu sana hao ila waeleshwe kwanza ITIKADI YA CHADEMA (Utumishi kwa Wanyonge) Nguvu ya Umma.
 
Back
Top Bottom