dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
*
Hivi hii kauli alitoa nani vile marope au jk?? naomba nikumbushwe jamani!
aliye sema ni kikwete.
*
Hivi hii kauli alitoa nani vile marope au jk?? naomba nikumbushwe jamani!
Karibu saana Bi Happiness CDM na wengine waliofunga macho nao waone ukweli wajiunge na chama cha ukombozi wa Mtanzania!!! Wewe ni jasiri kwa hiyo njoo na utaalamu wako wa uchumi kumkomboa nyonge wa Tanzania wakati ukifika CDM ikiwa kwenye madaraka!!!!! VIVA CDM VIVA UKOMBOZI WA MTANZANIA!!!!!Mchumi wa CCM wilaya ya Mbozi Bi Happiness Kwilabya ajiunga na CHADEMA, akifuatana na wanachama 18 Bi Happiness akikaribishwa jukwaani na viongozi wa chadema
Kwa takribani mwezi mmoja hivi sasa CCM imepoteza zaidi ya wenyeviti wa mitaa wapatao watano, ambao wameamia CHADEMA na mwingine aliposimamishwa kugombea wadhifa huo aliibuka na ushindi wa kishindo katika Mtaa wa Nonde Bwana Ezekiel King, ambaye pia alishawahi kuwa golikipa wa Tukuyu Stars na Mapinduzi Stars ya Mbeya, mtaa anaoishi Mstahiki Meya wa Jiji la Mbeya Bwana Athanas Kapunga.
Msimu utaisha mara Chadema itakapochukua nchi...