Papa D
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 753
- 182
Chama cha mapinduzi [CCM] wana nia ya dhati kabisa ya kuondoa umaskini nchi hii. Isipokuwa watanzania tumeshindwa kuwasaidia kufikia malengo hayo. Badala yake tumejikita katika kuwashambulia na hivi sasa maskini CCM yetu wamebabaika na kuanza kutangatanga kama panya aliyefungiwa kwenye DEMA!!
JAMANI TUWAPENI NAFASI KWA KUWAPA UWEZO MAANA NIA WANAYO ILA HAWANA UWEZO!!!!
JAMANI TUWAPENI NAFASI KWA KUWAPA UWEZO MAANA NIA WANAYO ILA HAWANA UWEZO!!!!