KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,584
- 8,605
Hivi mimi nashindwa kuelewa hawa ccm wanakoelekea au niseme wanaona aibu kujiunga navyama vya upinzani??au ni ile nisije nikawa wa kwanza??tangu kampeni zimeanza nashangaa za safari hii!!!Hivi huyu JK ndiye mwanzilishi wa CCM??
Mbona sioni nyumayake kama anawatu wakumsaidia katika kampeni kama enzi hizo??hawa wakongwe wa CCM wamekiama chama kimyakimya??au maana namuona mkewe na mtoto wake kwenye hizi kampeni au tuseme wameamua kumsusia??hawa watu wako wapi??na wanaogopa nini??
1.Mkapa
2.Mwinyi
3.Sumaye
4.Dr.Ahamed
5.Komandoo
6.Walioba
7.Malicella
8.Mangula
9.Msekwa
10.Kingunge
Nawenine wengi mimi napatwa na mshangao kuhusu hili!Ninikinafukuta ccm???:A S confused::A S confused:
Mbona sioni nyumayake kama anawatu wakumsaidia katika kampeni kama enzi hizo??hawa wakongwe wa CCM wamekiama chama kimyakimya??au maana namuona mkewe na mtoto wake kwenye hizi kampeni au tuseme wameamua kumsusia??hawa watu wako wapi??na wanaogopa nini??
1.Mkapa
2.Mwinyi
3.Sumaye
4.Dr.Ahamed
5.Komandoo
6.Walioba
7.Malicella
8.Mangula
9.Msekwa
10.Kingunge
Nawenine wengi mimi napatwa na mshangao kuhusu hili!Ninikinafukuta ccm???:A S confused::A S confused: